Maelfu ya wananchi wakiwemo wanawake wamejikuta wakitoa machozi wakati wa mapokezi ya Mama Samia.Hata hivo Mama Samia amewaahidi kuwa serikali yake itaweka mkazo katika kuboresha huduma za Maji na Afya mkoani Geita ili kupunguza adha za wanawake.
Maelfu ya wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Geita mjini mkoani Geita leo
Maelfu ya wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Geita mjini mkoani Geita leo