kama ulivyopokea ile ya zito na ya slaa kuleni mkivimbiwa tafuteni magadi
adui wetu Ni ccm na siyo mtu mtabwabwaja Sana tanga wala hamtupi shida lowasa is a president ����������������
Wala haishangazi sana,watu wa tanga mbali na viwanda vingi kufa na bandari kusimama mmeendelea kuwa watiifu kwa ccm ndo maana serikali haiwazii kufufua hivyo viwanda make wanajua kura watapata tu,poleni
Wewe unatutukana sisi watu wa tanga Kisa hatuipendi ukawa!!? Majibu ya matusi yenu kwa wana Tanga mtayapata October.Nyie watu wa tanga tunawfahamu tz nzima mmshikwa na mkashikika na ma ccm hivyo bc utawapata vipele wenzio tu, hamna faida ndani ya ninyi ndani ya ukawa, Ukawa inamaeneo yke sio tanga ww.