Umeandika pumba .Jipambanue wewe kwanza kwa andiko lako hili ambalo naamini hata mtoto Wa darasa la kwanza hawezi toa comment yenye poor logic kama yako.
Acha upotoshaji wewe nahisi unatumia akili za kuazima. Waliorudishwa kazini ni wale waliokuwa wafanyakazi wenye vyeti halali vya darasa LA saba . Siyo fake
Ngoja tuzuie nafaka zetu mnunue zilizosindikwa ndo utajua tuna viwanda . Bei ikipanda ya unga utafunga domo lako huko Kenya na utakula mlo mmoja nguvu za kuongea zitaisha nyoko wewe
Acha mapovu mkuu Sema umeumia tu Nairobi ninayoifahamu INA fly over ngapi unazosema kila mahari ????? Point za mawazo yako ni sawa ila weka mifano yenye uhalisia kama hapo juu.
Dah jamaa povu linatoka haswa, so kwa vile Kipindi kile Dr slaa hakukamatwa na mbowe nae akaona afanye hivyohivyo hatakamatwa??? State commander wakati huo alikuwa kikwete na sasa hivi state commander ni John!! Vitu viwili tofauti. Akili ya kukariri kwamba Fulani ameiba hakukamatwa na Mimi niibe...
Dunian hapa kuna viongozi Wa dini au waumini wanaoabudu miungu na syo Mungu Wa kweli huku dhamira na nafsi zao zikiamini kuwa zinaabudu Mungu Wa kweli. Ukisoma maandiko matakatifu utawaona aina hizi za watu."watakuja wengi kwa jina langu wakiwa na mifano ya utaua kumbe ni mbwa Wa mwitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.