Recent content by smussa14

  1. smussa14

    Kikwete amuweka kitanzini Kapuya, asema wabakaji wasionewe huruma

    Waache kutuletea mchezo wa kuigiza
  2. smussa14

    Tabu Ley afariki

    Innalilah wainnalilah rajiuna
  3. smussa14

    Hivi ni sawa kwa mayahudi kukaa ktk ardhi wa palestina?

    Mtu kurudi kwao si kosa ila kama umemkuta mtu ameshaweka makazi karne na karne ni vyema kutumia busara kuliko nguvu maana utapoteza watu wasio kuwa na hatia
  4. smussa14

    Uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kigoma_Kaskazini

    Lile jimbo hakuna mtu ambaye anaweza chukua maana zito kule kama raisi anasikilizwa sana
  5. smussa14

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ya CHADEMA imefanya maamuzi ya kijuha!

    Watanzania sikuzote tunakuwa mabwege na tutaendelea kuwa mabwege sababu kwanza umuelewe alichokiongea uyu mtu alafu ndio utoe comet zako sio unakurupuka unaanza kumkashifu na kumuona mdini alichosema watu watano waliochaguliwa wote wakristo kanakwamba chama akina waislamu ila ajalaumu kusema...
  6. smussa14

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    That is good
  7. smussa14

    MATUNDA NINAYOYAPENDA JE WEWE UNAYAPENDA MATUNDA YA AINA GANI? ELEZA HAPo

    Hayo mafenenesi na mashokishoki nayapenda mpaka basi:what::banghead:
  8. smussa14

    Katika hali kama hii ungefanyaje?

    Ningemwachia mungu atende miujiza yake
Back
Top Bottom