Ifikie kipindi tukae chini tuangalie mambo yanavyokwenda.Je? ni halali kwa mtu kama kapuya kufanya UCHAFU huu then tunaanza kumkingia kifua? Binafsi nawaomba tuungane kumsapoti binti huyu na kuakikisha mwalifu anapata adhabu stahiki bila kujali wadhifa wake.
mimi ni kijana wa kiume umri ni miaka 22.ninaishi na mama yangu kwani baba alitangulia mbele ya HAKI miaka mingi iliyopita pindi nikiwa darasa la tatu.Nimeishi na mama yangu kwa muda wote na nimefanikiwa kufika kidato cha sita nilipokuwa nikisoma masomo ya PCB na kuhitimu mwaka 2012.matokea...
Mimi ni mmoja ya wanafunzi waliochaguliwa na wizara ya afya kujiunga na chuo cha utabibu kilosa na bado sijapata joining form.naomba yeyote mwenye mawasiliano ya kiongozi yeyote wa hapo chuoni anisaidie niwasiliane nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.