PICHA ILYONIHUZUNISHA EBU IPE MENENO YAKE HII PICHa

PICHA ILYONIHUZUNISHA EBU IPE MENENO YAKE HII PICHa

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,077
Reaction score
34,847
1451467_613469018695232_1144233069_n.jpg
 
ni kama vile dogo anamwambia : mamaaa dont sleep, our fellows lives us!! wake up! wake up! wake up! (huku akilia)
 
ni kama vile dogo anamwambia : mamaaa dont sleep, our fellows lives us!! wake up! wake up! wake up! (huku akilia)
Wazungu wanasema it's too late kumbe mama ameshafariki zamani fikiria laiti ungelikuwa ndio wewe mdogo namna hiyo na Mama yako ameshafariki au kuuliwa kwenye vita ungelifanyaje? Tuwaheshimu Wazazi wetu jamani.
 
Wazungu wanasema it's too late kumbe mama ameshafariki zamani fikiria laiti ungelikuwa ndio wewe mdogo namna hiyo na Mama yako ameshafariki au kuuliwa kwenye vita ungelifanyaje? Tuwaheshimu Wazazi wetu jamani.

acha tu mkuu..dah kuna watu wanapitia mambo magumu sana kimaisha, ndiyo maana roho za visasi haziishi
 
Masikini! nimekosa la kusema! Inatia huruma sana, sijui maisha ya huyo mtoto yalikuwaje baada ya Hapo!!

Ni roho ya kisasi mwendo wa miaka mia ijayo na ndio maana Nchi nyingi za Kiafrika vita haitakuja kwisha we unadhani wawepo watoto 50 waliotendewa hivyo wakifika umri wa kujitambua itakuaje!? Si atakupaka hata sumu ya kiuno ufe taratibu?
 
Inatilisha huruma, masikini mtoto M/Mungu atamsaidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom