Vipi Mkaruka Mkuu amechezea kamrija kako nini?.
Maana waathirika wote hawataki kukubali enzi zimebadirika, badala yake wanajiliwaza kwa kumchukia Mkuu.
Anachofanya ni kwa manufaa mapana kwa sisi na vizazi vyetu.
Mkuu wangu ninachokuombea ni Afya na Uhai ili uweze kushuhudia maendeleo makubwa ya Nchi yako yatakayoletwa na huyo jamaa unaemchukia kiasi kwamba uko NEGATIVE kwa kila anachofanya, tena anafanya kwa manufaa yako na kizazi chako.
Mwenyezi Mungu akusamehe, yaani Magu ni Tatizo kubwa?!!!!!!.
Ile ni AKILI Kubwa sana, ili umuelewe unahitaji utulivu vinginevyo itakuchukua muda mrefu kumuelewa.
Utamuelewa vizuri Manufaa ya anachokifanya sasa yatakapo anza kupatikana.
Ukiwa Negative kwa kila kitu huo ni Mtihani, huwezi jua uwezo wako mpaka ujaribu kutenda jambo.
Lengo kuu la sisi kununua Ndege ni kukuza Utalii, TZ niya pili Duniani kwa vivutio vya Utalii.
Sasa wewe unaushauri gani?, tuuze Ndege zote tugawane pesa?.
Issue sio kushushwa inatakiwa wasiwe ZURUMATI, wao wapate na Wasanii pia wapate.
Bila shaka mpaka sasa Akili ishawakaa sawa hawawezi kuendeleza UBWANYENYE wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.