Kuna tofauti kubwa kati ya Elimu na IQ pia wasomi wengi wanapenda kuajiliwa wakati wasio soma hawana uhakika wa kuajiliwa hivyo hufanya juhudi za kujiajili na mwisho wa siku hufanikiwa kimaisha.
Watu wanaoishi kwa mitaji ya Siasa Wafanyabiashara wote wakubwa duniani wanaanza kujiwekeza wenyewe zen ndio wakiona wanahimili ndo wanakopa au kibiashara kukopesheka na hili hujidhihirisha pale unapoenda kuomba mkopo bank lazima wachunguze biashara yako au dhamana. Ndio maana Elimu yetu watu...
Ukiacha hilo mkuu pia Marekani haina vyanzo vyake vya uzalishaji wa Mafuta na Gas ila inategemea kupora kama ilivyofanya Iraq na Libya kwa kutumia njia hawezi kulihudumia soko.
Vijana musitoe wala kutupa vingine ni Dhahabu cc Justin Beiber mama yake alipata mimba akiwa na umri wa miaka 17 ila wazo la kutoa lilimjia na kulipuuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.