Dhambi ni kosa la mtu yeyote mwenye kuvunja makusudi Amri za Mungu au za Kanisa kwa mawazo,kwa maneno au kwa vitendo.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Na Leo nmeota kuna wenzangu wanafanya mtihani ila mm sikua na karatasi za kujibia nkabidi nakazifate nyumbani ila nlitoka na ule mtihani ukiwa umeandikwa na una majibu nkiwa njiani naelekea nyumbani nkawa nimebeba majani ya ngombe cc wachaga tunaita "makocha" yalikua mazito sana nkayadondosha...
Mambo vp mkuu juzi nliota kuna nguo nlizokua napenda kuzivaa sana nlitaka kuzivaa wakati bado nmelala nachambua begi langu kwenye ndoto kikatokea kivuli changu au naweza sema nafsi yangu imevaa zile nguo imependeza ikafungua mlango ikanifata kitandan na kunishika mabega mm nkawa nasema Yesu...
Nashukuru sana mkuu,nikweli kuna baadhi ya matukio yameshanitokea katka ufafanuzi ulonipatia ila namshukuru Mungu nimeyashinda na sitachoka kumwomba Mungu japo napitia mitahani migumu sana, Ila ili dhahabu iwe bora zalima ipite kwenye moto. Barikiwa sana mkuu
Naomba unifafanulie ndoto hizi ambazo huota Mara kwa Mara
1) Nliwahi kuota Mara kadhaa ngombe wa nyumbani kwetu maziwa yamejaa then akazaa nkastuka usingizini
2)Ngombe kwa zizi letu wako wanne akatokea mmoja akazaa boma likajaa then mama angu akaniuliza huyu ndama aliezaliwa hakuna pakumweka mm...
Kugombana kwa ghafla huwasha moto,na ugomvi wa ghafla humwaga damu. Ukipuliza kaa la moto litawaka zaidi,ukilitemea mate litazimika; hayo yote mawili ni matokeo ya kinywa chako. SIRA28;11-12
Bikra iko kwa wanawake pekee, na siku anayotewa Bikra na huyo mwanamme wake wanafunga agano ile damu inavyomwagika,, sisi wanaume tumefunga agano na Ardhi siku tunayotahiriwa. Kikubwa ukimfuga nyoka iko siku atakumbuka porini.
Anaitwa mke wa mtu pale anapovunjwa bikira na huyo mwanamme wake ila wengi wetu hivi sasa, tunaenda kufunga ndoa kanisani ili wadau wajue kua nawe umeoa ila kimbembe nipale anapokutana na alemtoa hyo bikra lazma uchapiwe,,, vp ulishawah jiuliza kabla ya dini kuletwa Africa mababu zetu wali...
Ulishawahi jiuliza kwann Mungu aliwaekea wanawake huo utepe? Kimsingi anaemtoa mwanamke bikra ndio mumewe kupitia hilo agano la kumwagika kwa damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukwel mtupu mkuu,, maana yule aliemtoa bikra ndo kafunga agano na huyo binti ile damu inavyomwagika, na huyu binti atakaeolewa na jemba mwingine cku akikutana na mwana lazima amuheshimu xna na pengine wakumbukie enzi. Ukifuga nyoka iko siku atakumbuka porini
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.