KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Wanatunyanyasa sana sisi wateja wanywa soda, maji nk haswa kwa siku za mwisho wa juma tunapokwenda kuangalia ligi mbalimbali bar hii ipo maeneo ya tank la maji
Malipo ya mwezi wengi hawamuduTank la maji Arusha? kwani lazima utazame hapo? BTW dstv kufunga ni 70 tu acheni kujiendekeza umaskini
Starehe gharama! kama hataki basi avumilie hizo kero maana bure ghali!Malipo ya mwezi wengi hawamudu
nchi ya viwanda wewe unakunywa maji si utakunywa pole pole,kuliko wa biaWanatunyanyasa sana sisi wateja wanywa soda, maji nk haswa kwa siku za mwisho wa juma tunapokwenda kuangalia ligi mbalimbali bar hii ipo maeneo ya tank la maji
Hiyohiyo jirani na a towners.Inaitwa Rombo delux joh
Hapo jirani na maeneo ninayoishi. Unataka niende milestone?Kwani lazima uende hapo? Nonsense!?!
Mwenye bar huu ujumbe/kero imfikieKwani jf kuna wahudumu wa hiyo bar kwamba wafikishe ujumbe
Si bure tunanunua maji/soda na tunakuja na chenji kamiliwe jamaa mnoko sana...jua tu vya bure sio vizuri mkuu...Nunua dstv yakooo!
Au we ndo mwenye bar umekuja kufanya tangazoMwenye bar huu ujumbe/kero imfikie
Hili sio tangazo. Hii ni kero kwetu sisi wateja wa maji/soda tunakuja na chenji kamiliAu we ndo mwenye bar umekuja kufanya tangazo
Tafuta sehemu nyingine maana sio lazima ukahudhuria hapo barHili sio tangazo. Hii ni kero kwetu sisi wateja wa maji/soda tunakuja na chenji kamili