Ni reasonable amount kilichopo ni kujibana na kupunguza matumizi yacyo ya lazima kwa watakaonufaika na ongezeko hilo kwani lazima ukumbuke hyo pesa utairudisha watu huku tunalia na makato ya bodi ikiwa kiwango kilikuwa kdogo zaidi ya hicho kilichoongezwa N.B. Kadri wanavyoongeza ndo...
Mnashangaa nn kwani yule babu asiye na dini anatafuta nini kwenye hlo bunge?? si ndo kazi yake hyo au hamjui? tumuombee tu presha ishuke maana yawezekana shetani anafanya kampeni.
Ahsante mkuu licha ya kutokuwa mwenyeji JF ila hii post yako imenifanya nitabasamu kdogo lakn kama kawaida wenye vinyogo wameshaanza kujamba humu je post zikitoka si ndo watakunya kabisaa.
Vuteni subira ndugu Walimu bado mh. Mulugo hajapata maslahi yake hvyo amegang'ania flash yenye majina akipata maslahi yake atawapatia then watatangaza tu. inauma ila hakuna lakufanya.
Ndugu umeleta wazo zuri kati ya mambo yanayonifedhehesha na kujiona mnyonge ni pale ninapokutana na wa2 wakaniita nshomile nikipiga taswira nyumbani BWANJAI_buhekela nikazunguka kata takribani tana tulzopakana nazo napata aibu kuna umackni kwa wa2 uliokithiri, njaa n.k. Lakin haya yote ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.