Anahitajika binti mwenye uwezo mkubwa wa kutumia simu na computer.
Ofisi yetu inafanya kazi 2 ambazo ni kutoa huduma ya internet Morogoro mjini na kukata tiketi za treni ya SGR.
Anahitajika mdada smart anayefahamu kutumia computer na simu vizuri, awe sharp na asiye na hasira za hapa na pale...
1. Eneo la Kilakala isiwe mbali na kituo cha Tushikamane.
2. Eneo la Kola (iwekaribu na barabara ya pangawe)
3. Eneo la Bigwa (iwekaribu na barabara ya pangawe)
Iwe na vyumba 3 vya kulala.
Ijitegemee maji na umeme.
Bei ni 20,000/= kwa taa 1. Tunatuma nchi nzima. Utalipia baada ya kupokea mzigo.
Karibuni.
https://smarteaglescompany.blogspot.com/2025/01/hizi-ni-taa-za-kisasa-kwaajili-ya.html
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.