Recent content by smart brain

  1. S

    JamiiForums Tanzania Serikali itoe ufafanuzi: Makamu wa Rais ni Msaliti na anakwamisha Maendeleo na Mipango Serikali ya Samia?

    Huyo mbunge analeta tarabu bungeni na kuongea kwa mafumbo,angetaja jina halisi la anayemwita Yuda na athibitishe hizo tuhuma anazomtuhumu. Kiti cha spika nacho ni dhaifu,angeambiwa athibitishe
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kuhubiri dini kwenye mabasi na standi za umma nao ni uhuru wa kuabudu?

    Umesahau na wale wanaotangaza biashara zao kama vile sabuni,dawa za meno n.k
  3. S

    JamiiForums Tanzania Polisi, bunduki Hanang ni za nini?

    Una akili mkuu
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki tuache ubaguzi kwenye mazishi

    You are right
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki tuache ubaguzi kwenye mazishi

    Ukisha kufa ndugu yangu,hakuna mtu au mambo yoyote ambayo yatabadilisha Hali Yako ya kiroho.Kwa wewe kama marehemu wakuombee wasikuombe yote sawa.unatakiwa kujindaa vyema kiroho ukiwa hai kuliko kuja kusubiri uombewe baada ya kifo.Nawasilisha
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kijiji chote kimesombwa na Mafuriko, Kanisa limebaki

    Hanang hamna waislam mkuu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kijiji chote kimesombwa na Mafuriko, Kanisa limebaki

    Uko nje ya madam mkuu
  8. S

    JamiiForums Tanzania Usimfanyie wema kupitiliza mke wa mtu

    Mimi nakupinga,mwanamke ukimstress in anyhow,eg kucheat au kipigo inakuwa ni rahisi kushawishiwa na wanaume wengine Kwa akili ya kupata furaha aliyoikosa Kwa mme wake. Nina ushahidi,wingi tumewagonga Kwa style
  9. S

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Mkuu zingine ni za kweli.Mimi mtaa ninaoishi hapa At town,Kuna mwanamke ana mtoto wake wa kwanza Yuko UDOM ,lakini kamwacha mme wake na kwenda kuolewa na mtu mwingine.we achaaaa mkuu
  10. S

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Inauma sana.mimi Kuna siku nilicheat na mke wa mtu,aisee roho iliniuma Sana na nikawa full stressed.Mke wangu alijua nina stress,akanibembeleza nimwambie Kuna shida aweze kunisaidia.Niliingia udhaifu ikabidi nimwambie.Alinuna kidogo baade akanisamehe na wakawa mabest na yule mchepuko wangu ila...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    Wewe ni pepo.umemsifu mme wako wa ndoa halafu wataka kumwacha.huo ni ubinafsi,fikiria watoto wako
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kipi kimetokea umejikuta hauna rafiki hata mmoja?

    Pole Sana ndugu yangu.mimi nilikuwa fresh kiuchumi,ndugu jamaa na marafiki walikuwa karibu sana.niliyumba Sana kiuchumi baada ya kufukuzwa kazi na wote walinitenga na dharau juu.Nilibaki na make wangu na watoto wangu tu.Nilipiga moyo konde.nikapambana na kesi hatimaye nikarudishwa kazini na...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Jukumu la kufanya usafi kwenye mazingira ya shule ni la nani?

    Ni Moja ya kisababishi
  14. S

    JamiiForums Tanzania Jukumu la kufanya usafi kwenye mazingira ya shule ni la nani?

    Kiukweli Mimi ni mwalimu wa sekondari Tena sayansi,najimudu kitaaluma na kihojo.mzazi kama hiyo kwangu angekula kipigo na kumfungulia kesi ya uvamizi kwenye majengo ya serikali na kukwamisha shughuli za ufundishaji. Nilishawahi kufanya hivyo kipindi Cha nyuma.Nilimpa adhabu form...
Back
Top Bottom