Recent content by Small Boy

  1. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, Tarehe 10 Aprili, 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Link; 1: wavuti: Links/BungeLIVE 2: www.bungemaalum.go.tz
  2. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

    Baada ya hotuba ya leo..nani sasa tumwamini kati ya tume ikiyofanya utafiti na kukutana na wananchi pamoja na mabaraza ya katiba au mtukufu raisi na msimamo wa chama? Swali jingine la kujiuliza ni je..mbona hakuzungumzia malalamiko ya watanganyika kwenye muungano?
  3. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Serikali tatu...
  4. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Hizi ni hoja zilizoibuka mara tu baada ya Kikwete kumaliza hotuba yake! Wewe una hoja gani?

    Leo nimeshuhudia majibu mepesi kwa maswali magumu mno... Ikiwa matatizo ya muungano bado yapo hata wakati tunasherehekea miaka 50, je si wakati muafaka wa kujaribu serikali 3?
  5. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Judge Warioba Bunge la Katiba p1

    Natafuta DVD hii...
  6. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Audio/video ya hotuba ya Jaji Mstaafu Warioba ktk Uwasilishaji wa Rasimu ya Katiba

    Jamani..CD au DVD za ike hotuba zinauzwa wapi?
  7. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Mbatia kidedea NCCR

    Finished...
  8. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Sio MSD inateketea...ni philips pharmaceuticals

    Mita chache kabla ya njia ya kuingia jet lumo...
  9. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Sio MSD inateketea...ni philips pharmaceuticals

    Niko eneo la tukio... Victoria petrol station ya pugu road iko hati hati.. Hali tete.... usalama wametanda kila kona.
  10. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Kuugua na Kutibiwa kwa Nelson Mandela, Tanzania Tunajifunza nini?

    Ni siku nyingi zimepita Tangu Raisi huyo wa zamani wa Afrika Kusini (Nelson Mandela) kulazwa hospitalini. Mimi nimefurahishwa na jambo moja kubwa; "Hakupelekwa nje ya nchi yake kwa ajili ya matibabu". Hili limenipelekea kujiuliza maswali kadhaa,..... Vipi hali ya hospitali na zetu hapa...
  11. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Loading......
  12. Small Boy

    JamiiForums Tanzania John Magufuli: Ninautamani urais!

    Jembe; Lowasa anafaa.. Magufuli PM
  13. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Umiliki wa Ardhi; Rasimu imekaa Kimya

    Mojawapo ya mambo yanalalamikiwa kwenye katiba ya sasa na sheria zake ni pamoja na swala la umiliki wa ardhi; 1. Swala la Raisi kuwa na mamlaka na ardhi yote 2. Swala la wageni kumiliki ardhi 3. Kiasi cha Ardhi mtu mmoja anachoweza kumiliki n.k Rasimu ya katiba mpya nayo imekaa kimya kuhusu...
  14. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya inasema Nini Kuhusu Haki ya huduma bora za Afya?

    Nimepitia Rasimu nzima, sijaona popote ambapo swala la Afya limetajwa. Access to quality health services is fundamental right. Mbona halijitokezi kwenye rasimu?
  15. Small Boy

    JamiiForums Tanzania Nchi anaishikilia nani kwa sasa?

    Nape Nauye
Back
Top Bottom