Tumuunge mkono m2 was visasi bora tuwe masikini milele kuliko kuwa na chuki miaka kumi,maana huyo mkulu anapanda chuki kila uchao,mm stounga mkono wakati wenye vyeti fake wengine wanahukumiwa wengine wanaendelea kula nchi,michango ya waathirika na tetemeko,ajari watia ndani,tunapiga kelele...