Binafsi naona hata mfumo wa ukataji ticket umekaa kiupigaji sana, Kuna baadhi ya vituo ticket zinatumika zaidi ya mara 2 au 3 kwa abiria mmoja.
Nashauri uwekwe mfumo wa kutumia N-CARD yaani pesa iwe inakatwa direct kutoka kwenye card kwa kadri ya destination ya abiria, kama inavyofanywa pale...
Habari zenu wakuu
Binafsi sio mtaalamu wa computer, wala sina ujuzi wowote kwenye issues za IT but navutiwa sana na maswala hayo.
Naomba kuuliza, je, naweza kutengeneza android app nikiwa sina idea yoyote ya Computer programming?
Nawasilisha.
Mkuu,mara nyingi niapanga kufanya mambo mengi lakini namna ya kuyatekeleza ndo mtihani,najishangaa kwani nimewahi kumpa mtu wazo la biashara na namna ya kulitekeleza aka win,but nilipo jaribu mimi ilikuwa ni balaa,na kama nilivyo eleza mwanzo"Mimi si mvumilivu katika kusubiri mafanikio"
Habari zenu wakuu.
Nimezingatia kauli ya wahenga isemayo "mficha maradhi mauti umuumbua", binafsi nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu wataalamu.
Umri wangu ni mdogo tu,lakini nimekuwa nikifanya shughuli mbalimbali za utafutaji,nimekuwa nikijiwekea malengo fulani kutokana na shughuli...
Habari mkuu,simu yangu ilikuwa inasoma line za 3g,na 4g pia kuna jambo nilifanya imeacha kusoma 3g,inasoma line za 4g only,pia nikipiga simu haipiti na nikipiga menu fulani mfano menu za vifurush,kuangalia salio etc,inaandika "Connection problem or invalid MMI code,msaada please! Simu yangu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.