Shida saizi utakuta amefanya labda hakuwa kwny mgao, na kuna mtu kichwa nyuma yake sio yy. Sasa mkimpa uraisi mwaka tu mnakuja kulia tena apa.
Atajitokeza mjinga ambae hajapewa mgao wake, atafanya kazi ya kuchoma wenzake naye mtampa Urasi, kumbuka nae atakua anatoka CCM.
Ulinzi wa biashara wakati umeweka mtandaoni? Si ungefungia stoo, hii ni dunia ya utandawazi na kufanya biashara online. Ukiweka kitu weka details za kila kitu, mtu akikutafuta anauliza tu vp umepokea pesa tafadhali tuma mzigo mapema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.