Fucc Paypal! Nitawapigia kura Chadema wakisema wapo tayari kulipa kodi kwenye Mishahara yao; na wapo tayari ku-adjust Mishahara iendane na kazi wanayofanya huko bungeni!
Tofauti na hapo fvck politicians!
Ni kumuibia kila alichonacho alafu uhakikishe hapati tena mchongo...baada ya hapo lazima awe BROKE tu[emoji1787][emoji1787]
Au sijaelewa swali lako mkuu?[emoji28][emoji28]
Mie wala sibishani nahitaji tu kuelimishwa:
~300k ni 10% ya 3m, na hiyo umesema/mwezi. Uki-annualize hii return inakuwa ngapi vile?
Ningeomba utujuze biashara ipi inayolipa hivi uswahili njaa huku.
Nashukuru!
Cha kawaida cha kijamii kipi hapa?
Au wewe na mtoa mada mnatokea jamii ili?
Maana kama ni jamii hii ya wa-Tanzania basi siku si nyingi kabla ya muumba kutushushia ghadhabu.
Kuna mstali mwembamba sana kati ya ujinga na ushetani.
Ukianza na dada zako itakuwa vipi kwa watoto wako wakike (au...
Nina dada zangu pia na ushetani wa aina hiyo haujawahi kukatiza karibu yangu.
Kwamba usingekuwa na dada upo tu na Mama yako? Ungehamishia majeshi kwa bi mzazi au?
Acheni kuendekeza upuuzi!!
Sasa kama imefikia wazazi wanahofia ndugu wa damu kupandana kama wanyama...dunia imekwisha.
Labda we mleta mada nae kwa nini umeuliza au nae ulikuwa unawapanda dada zako? Hii dunia hii
Nashukuru sana mkuu, hii imenipa mwanga!
Naangalia uwezekano wa kutoa ka-ghorofa cha floor moja ila sina imani na mafundi wa mtaani.
Ndio naona bora nijue bei ya kufanya kitu roho ikiwa na amani.
Habari wakuu,
Wakati najipanga hapa nikaona niombe mchango wa mawazo na uzoefu wenu.
Bila shaka wapo ambao mnafahamu gharama ya kumtumia mkandarasi kujenga, walau kwa kukisia tu.
Nashukuru sana kwa mchango wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.