Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,654
- 22,250
Swali la msingi ni lini serikali na jeshi la polisi wataruhusu mfumo wa vyama vingi nchini?Dunia ya sasa biashara za mitandaoni ni kubwa mno na hazina mipaka
Waweza uza chochote mitandaoni
Njia ya malipo ya haraka ya kupokea pesa mitandaoni ni njia ya Paypal ikiruhusiwa itafungua ajira nyingi mno
Wabunge tunaomba mtusaidie kwa hili kutuulizia bungeni