Kuna mama alipangishw flame ya biashar
Sas mweny flame alisem anatak hela yake kwa siku ambayo ni 10000 kwa mwez 300k
Baad ya kam miak miwil hv juzi yule mama akamwambia bhna mm nmepat mtu mwingin ko nikabdh flame yang
Imagine yul mpangaj hajajipang kw lolot
Sent from my SM-N900 using...
Tumia akili kaka
Imagine umerud jion mweny nyumb anamuambia kesh mkabidh chumba chake? maan haun mkataba nae
Ndio maan Tunalip term ndefu ili uwe na aman kwa muda huo
daah kipindi harmonise anatoka kimziki sikuwahi muelewa hata kidogo ilifikia hatua mziki wake nilikuwa sisikiliz kabisa maan nilimuon hana kipaji kabisa yani
ila miaka kadha mbele nilikubali ngoma kadhaa ya kwanz ilikuwa fire waist,krizbeat ft yemi alade pia show me what yo got
cha ajabu...
ningekuw karibu hapo ningekupiga bonge la kofi kwann unakuwa mbishi unapoelekezwa na wanao elewa mziki?
zuchu bado saaan kumfananisha na hao watu mbali na jayde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.