mkopo wako wa 110 ulichukua lini?na ulikua unafanya biashara gani?
Katika maisha hua inafikia kipindi inakulazimu kuanza upya bila wewe kupenda,
Kubali kuanza upya brother tupo wengi sana tuliopitia hali za namna hii na tupo tayari kuanza upya kitu cha msingi ni kwamba umetambua na kuelewa...
Kati ya kozi mbili zifuatazo ni kozi ipi inalipa zaidi na ipo Marketable zaidi na yenye malupu lupu.
Kozi zenyewe ni
1-Human Resources Management
2-Procurement and Supplies Management.
Wataalam Naomba kujua
Wewe haujui kitu nyamaza
Kwa ufupi elewa tu ,mtu muhaini hawezi kuwa supported na taasisi mbali mbali za kimataifa na hicho unachokisema ni Cv ambazo zinasidia kuonyesha Lissu ni nani na amejihusisha na nini tangu alipoanza harakati anazoziamini za kudai haki.
Kuna wakili mmoja Jina nimesahau alisema hata kama Lissu atakutwa na hatia basi wao kama Mawakili watakata rufaa kwenda mahakama ya makosa ya kivita,mimi naamini Pimzi ya Jamuhuri tayari imekata kwasababu kitendo cha kuzuia baadhi ya mashahidi wasije kwasababu za Katuga na wenzake ni ujinga...
Kesho ndiyo mwisho wa hii kesi Kaka,it’s either wakubali au wakatae pons yao ni kukubali yaishe hi hiyo kesho kwasababu wakitaka kesi iendelee ni wataachwa vinywa wazi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.