Wanajamii, katika maisha ya sasa, ajira pekee haiwezi kuwa suluhisho la kufikia mafanikio kwa kiwango cha juu. Hivyo, ni muhimu kuwa na alternative sources za income ili maisha yaweze kwenda.
Swali la msingi ni, je, nini ufanye ili ufanikiwe kulingana na unachotaka kukifanya? Katika kufikiria...
Reymage, Mungu akubariki sana unatema madini mazito sana ,ninaomba Kwa mtu yoyote ambaye anafahamu jinsi ya kufanya cost minimization katika biashara hii atujuze ,kwani faida kubwa ukicheza vibaya inamalizwa na issues za usafiri.
Ambacho nimegundua katika biashara hii,fanya uwezavyo hakikisha gharama za usafiri unazipinguza na pia hakikisha mbuzi utakao nunuzia wawe bei rahisi.
Swali la msingi ni je unawezaje kutatua changamoto ya usafiri ikiwa wewe unaanza Biashara Kwa mtaji mdogo wa mbuzi 30 au 50??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.