Kesho ndiyo mwisho wa hii kesi Kaka,it’s either wakubali au wakatae pons yao ni kukubali yaishe hi hiyo kesho kwasababu wakitaka kesi iendelee ni wataachwa vinywa wazi sana
Wanajamii, katika maisha ya sasa, ajira pekee haiwezi kuwa suluhisho la kufikia mafanikio kwa kiwango cha juu. Hivyo, ni muhimu kuwa na alternative sources za income ili maisha yaweze kwenda.
Swali la msingi ni, je, nini ufanye ili ufanikiwe kulingana na unachotaka kukifanya? Katika kufikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.