Recent content by Sley Shabani Rashid

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Ameen Kwa Jina la Yesu Kristo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Kesho ndiyo mwisho wa hii kesi Kaka,it’s either wakubali au wakatae pons yao ni kukubali yaishe hi hiyo kesho kwasababu wakitaka kesi iendelee ni wataachwa vinywa wazi sana
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    😂😂😂😂
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Wameingia kwenye mtego tayari
  5. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Anza dawa ndugu ,itashuka hiyo
  6. S

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Kabisa hawatorudia
  7. S

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kazi za mikono zinazofanya vizuri sokoni

    Wanajamii, katika maisha ya sasa, ajira pekee haiwezi kuwa suluhisho la kufikia mafanikio kwa kiwango cha juu. Hivyo, ni muhimu kuwa na alternative sources za income ili maisha yaweze kwenda. Swali la msingi ni, je, nini ufanye ili ufanikiwe kulingana na unachotaka kukifanya? Katika kufikiria...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Normal range ipo hivi Systolic Bp 100-140✔️ Diastolic Bp 60-90✔️ Nje ya normal range hiyo wewe ni Hypertensive case
  9. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Normal range ipo hivi Systolic Bp 100-140✔️ Diastolic Bp 60-90✔️ Nje ya normal range hiyo wewe ni Hypertensive case
  10. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Pressure yote hiyo then hautumii dawa,unatafuta kupiga mzinga wewe 🙌🙌
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    A Asante sana Kwa ushauri kaka,0718884570 tuwasiliane ndugu yangu
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Asante sana Kaka ,tuko Pamoja
Back
Top Bottom