Recent content by Sley Shabani Rashid

  1. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Anza dawa ndugu ,itashuka hiyo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Kabisa hawatorudia
  3. S

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kazi za mikono zinazofanya vizuri sokoni

    Wanajamii, katika maisha ya sasa, ajira pekee haiwezi kuwa suluhisho la kufikia mafanikio kwa kiwango cha juu. Hivyo, ni muhimu kuwa na alternative sources za income ili maisha yaweze kwenda. Swali la msingi ni, je, nini ufanye ili ufanikiwe kulingana na unachotaka kukifanya? Katika kufikiria...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Normal range ipo hivi Systolic Bp 100-140✔️ Diastolic Bp 60-90✔️ Nje ya normal range hiyo wewe ni Hypertensive case
  5. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Normal range ipo hivi Systolic Bp 100-140✔️ Diastolic Bp 60-90✔️ Nje ya normal range hiyo wewe ni Hypertensive case
  6. S

    JamiiForums Tanzania Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

    Pressure yote hiyo then hautumii dawa,unatafuta kupiga mzinga wewe 🙌🙌
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    A Asante sana Kwa ushauri kaka,0718884570 tuwasiliane ndugu yangu
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Asante sana Kaka ,tuko Pamoja
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wanaume unaweza kudate na mwanamke above 25 years ambaye hana kazi wala chochote anachojishughulisha nacho?

    Hao ndiyo wazuri,wanauwezo wa kuitunza familia na ikawa familia bora sana na pia wanaheshima pia ni wacha Mungu sana, My answer is YES
  10. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Nitumie namba yako ya whatsapp nikutumie tangazo
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Reymage, Mungu akubariki sana unatema madini mazito sana ,ninaomba Kwa mtu yoyote ambaye anafahamu jinsi ya kufanya cost minimization katika biashara hii atujuze ,kwani faida kubwa ukicheza vibaya inamalizwa na issues za usafiri.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Ambacho nimegundua katika biashara hii,fanya uwezavyo hakikisha gharama za usafiri unazipinguza na pia hakikisha mbuzi utakao nunuzia wawe bei rahisi. Swali la msingi ni je unawezaje kutatua changamoto ya usafiri ikiwa wewe unaanza Biashara Kwa mtaji mdogo wa mbuzi 30 au 50??
Back
Top Bottom