Mara nyingi wastaafu wanakula mafao yao kwa fujo wakijua watakufa waache hela zao lakini wanachapa hela inaisha na hadi mtu wanabaki kuwaangalia watoto wao ambao tiari nao wana majukumu yao na kuleta kero zisizo eleweka😂😂😂😐
Hao ndo wale wanataka idadi ya vibaka iongozeke mitaani
Binafsi ninachokijua uduvi + dagaa huku Kanda ya ziwa Kuna hela sana alafu jamaa alikuwa Kagera huyu
Ndugu upo mkoa gani unaweza pata msada pia maana mwenyewe nilisaidiwa tu mwanangu alikuwa na uvimbe chini ya kidevu nilipata dawa ya kienyeji mara tatu kiliyeyuka maana sjuhi kilipoenda
Hiyo ni kweli ukizingatia kimoja icho ulichokipiga kimechukua mda gani huwenda hata lisaa
BINAFSI MIMI SJAWAHI KUPIGA MIENDELEZO TOFAUTI NA KIMOJA cha dakk 45 to 1 hr lazma mtu ale chocho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.