Recent content by Slatcher09

  1. S

    Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimemwambia asome akifaulu vzr asome mpk Masters Law
  2. S

    Temitope Balogun Joshua, (TB Joshua) afariki Dunia

    Kaenda kulipia gharama za aliyemtumikia na kumpa umaarufu. Note: Mtumishi wa kweli wa Mungu hafi ghafla ghafla
  3. S

    Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

    Mimi mdogo angu kapata Div 1-14 PCB ana point 9 aliichagua ila wamempeleka Hgl km vile wao ndo wanamjua kutoka shule za kata, dogo imebidi aende tu kusoma hiyo hiyo maana shule aliyopelekwa Ni Ilboru, sasa haifai kubadili kwenda Pcb na point zake 9 na kuhama kwenda shule nyingine ni mtiti. Yaani...
  4. S

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Aiseee kubadili ni ngumu sana hasa kwa hizo post za moja kwa moja. Health Information system kweny afya ndo Scale ya chini
  5. S

    Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

    Ndo hvyo ukiwa na hela zako utafte connection na adm officer tu umept mshkaj wang aliapply kawaida akakosa second selection akaapply hlf akatafta connection akatoa mkwanja akapt kilaini
  6. S

    Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

    Ila vyuo siku hz diploma kujiendeleza km huna First class 4.4 kuendelea mpaka kuonga hela nakumbuka huyo mshkaji aliyept alitoa kwa adms off zaidi ya 1.3 M
  7. S

    Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

    Kwani clinical medicine umemaliza mwaka gn
  8. S

    Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

    Nisaidie no ya huyo admission officer inbox plz
  9. S

    Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

    Dogo unasoma sana kuna mshikaji wangu Olevel alikuwa na div 2 hlf diploma 3.5 akapata Bugando last yr sema kwa vyuo vya serikali competition ipo juu sana
  10. S

    Je, course ya Health Information Science ni nzuri?

    Diploma ya ukatibu afya haina dili kwa ufaulu wako mara mia hata ukabadilishe usome Pharmaceutical Science au Nursing and Midwifery.
  11. S

    Je, inawezekana kubadili shule uliyongiwa kidato cha tano?

    Nasbr na mm msaada maana nna dogo langu kapangwa ILBORU-Hgl wakt ndoto zake ni kuso,ma PCB, HGL ana point 4 Pcb ana 9
  12. S

    Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Ni umalaya tu nakumbuka kuna demu mmoja mke wa mtu alinitengenezea mazingira kwenda kumgongea kwake
  13. S

    Ushauri: TCU kutowatambua waliosoma Engineering Science kusoma shahada za Sayansi inawaumiza waliosoma Shule za Ufundi

    Mimi nimesoma Tech Projectile motion, Angular Velocity yote yamo olevel changamoto tu ni kutokufny practical sijui nani alipitisha huo upuuzi
Back
Top Bottom