Mimi mdogo angu kapata Div 1-14 PCB ana point 9 aliichagua ila wamempeleka Hgl km vile wao ndo wanamjua kutoka shule za kata, dogo imebidi aende tu kusoma hiyo hiyo maana shule aliyopelekwa Ni Ilboru, sasa haifai kubadili kwenda Pcb na point zake 9 na kuhama kwenda shule nyingine ni mtiti. Yaani...
Ndo hvyo ukiwa na hela zako utafte connection na adm officer tu umept mshkaj wang aliapply kawaida akakosa second selection akaapply hlf akatafta connection akatoa mkwanja akapt kilaini
Ila vyuo siku hz diploma kujiendeleza km huna First class 4.4 kuendelea mpaka kuonga hela nakumbuka huyo mshkaji aliyept alitoa kwa adms off zaidi ya 1.3 M
Dogo unasoma sana kuna mshikaji wangu Olevel alikuwa na div 2 hlf diploma 3.5 akapata Bugando last yr sema kwa vyuo vya serikali competition ipo juu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.