Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

Naweza kusoma MD kwa matokeo haya?

Ila vyuo siku hz diploma kujiendeleza km huna First class 4.4 kuendelea mpaka kuonga hela nakumbuka huyo mshkaji aliyept alitoa kwa adms off zaidi ya 1.3 M
Harufu ya upigaji hapa mtoa mada.
 
Watu wenye ufaulu zaidi ya hizo cut points wapo wengi sana, lakini ucijali kama una nia ukimtanguliza MUNGU utafanikiwa..
Kwamba Mungu atafanya wale wenye ufaulu mkubwa wasiombe ili huyu apate nafasi!? Au ni vipi? Au wote wakiomba huyu apate muujiza wa kuingia kwenye list ya waliofanya vizuri? Hii lugha ya kumuomba Mungu tuangalie mahala pa kuitumia.
 
Ndo hvyo ukiwa na hela zako utafte connection na adm officer tu umept mshkaj wang aliapply kawaida akakosa second selection akaapply hlf akatafta connection akatoa mkwanja akapt kilaini
Chuo gani?
 
Ingia website ya TCU download guide book, angalia kwenye equivalent qualification uone yaliyomo
Jamani nauliza mbona mm,nikiingiza taarifa zangu nacte wanasema, hawazitambui,shida iko wap,ni diploma ya elimu ,nahtaji nipate award verification number,msaada ,
 
Jamani nauliza mbona mm,nikiingiza taarifa zangu nacte wanasema, hawazitambui,shida iko wap,ni diploma ya elimu ,nahtaji nipate award verification number,msaada ,
Jaribu kuwasiliana nao upate msaada wao
 
Habari mimi nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3 na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.
Hivi huwa mnakosea wapi? Si tafuta vyuo husika halafu waoneshe vyeti vyako waone kama una sifa? Mwisho wa siku utaishia kupigwa tu, watu wanaanza kusema sijui mtu alitoa mkwanja, na wewe unaanza kutafuta contacts zao. Utaumia ndugu yangu...
 
Hivi huwa mnakosea wapi? Si tafuta vyuo husika halafu waoneshe vyeti vyako waone kama una sifa? Mwisho wa siku utaishia kupigwa tu, watu wanaanza kusema sijui mtu alitoa mkwanja, na wewe unaanza kutafuta contacts zao. Utaumia ndugu yangu...
[emoji23][emoji23][emoji23]mbwa anajikabidhi mwenyewe mdomoni mwa chatu. Tuna safari ndefu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hvyo ukiwa na hela zako utafte connection na adm officer tu umept mshkaj wang aliapply kawaida akakosa second selection akaapply hlf akatafta connection akatoa mkwanja akapt kilaini
Kati ya vitu siwezi kufanya maishani mwangu mojawapo ni kununua elimu au kufanya konakona kwenye elimu. Kama sina vigezo vya kufika darasa la nne B bora nitulie tu na elimu yangu ya darasa la tatu C nifanye mambo mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari mimi nimemaliza clinical medicine nina GPA 4.3 na olevel nina chem C bios B phy D English C geo C maths F naweza kusoma M.D.
Tafuta connection uje hapa Muhas,Hapa wanachukua Kwanzia 4.6 nazan bcoz wanawachukua 20 tu from Diploma
 


Malengo ya group hili:-
1. Kuwapa fursa wanafuzi wa kidato cha six kuuliza maswali yoyote ya kielimu
2. Kuwapa taarifa sahihi kuhusiana na nafasi za masomo na mikopo ya elimu ya juu.
3. Kuwasaidia katika kufanya maombi ya vyuo na mikopo ya elimu ya juu.
4. Kuwashauri kufanya chaguo za kozi na vyuo mbalimbali baada ya matokeo kwa mujibu ya ufaulu wao.

KARIBU SANA
 
Connection gani mkuu, hivi kumbe MUHAS ukiwa na gpa yako ya 3 sahau kabisa
Uwe na koneksheni na watu wazito hakuma linaloshindikana mkuu.

Ukiwa na watu mjini haoa kila kitu kinaenda smoooothly kabisaa
 
Back
Top Bottom