Lete pesa nikuuzie kitabu cha kungarisha nyota , mvuto wa biashara na Mali process zengine utafanya mwenyewe kwa kufuata maelekezo ya kutoka kwenye kitabu
Kitabu kipo kwenye lugha ya Kiswahili tuna 50k yangu nikutmie kitabu...Ila ukikitumia vibaya juu yako mm simo
Habari wakuu
Week kadhaa nyuma nilileta Uzi wa kumba Akira ya medical lab ila Hadi Leo bado sijafanikiwa kupata
Leo nakuja tena kwenu kama kuna MTU ana sehemu hata yakupata nauli Tu kwa siku pia nipate hata Ile sabbu Tu yakunitoa nyumbani
Elimu yangu NI diploma, Nina skills kadhaa kama...
Mimi sina connection na ajira ila nina connection na work visa na permanent residency ukifika kazi unajichsnganya na wenyeji wako watakuseidia kupata
Hyo ni gharama Maana ukwel watu kukutolea visa permit ya mwaka, ina cost had 3.5 milion na hapo ticket juu yako one way ticket kma laki 8 hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.