Recent content by skyone7

  1. S

    Najuta kuwa mraibu wa kujichua, sasa najuta, nimekuwa "hanithi"

    Aah punyeto haimfanyi MTU hanithi NI saikolojia yako mkuu...imejengeka hivo nitafte nikupe dawa ili urejeshe kujiamini
  2. S

    Mrejesho wa 3, Mke kakimbia ndoa yake kisa anataka kazi

    Hahaha huwajui wanawake ww,.....😂😂
  3. S

    Utajiri wa kichawi: Hivi haya mambo yapogo kweli? Maana kuna wimbi la vijana wanapigwa pesa kimya kimya

    Lete pesa nikuuzie kitabu cha kungarisha nyota , mvuto wa biashara na Mali process zengine utafanya mwenyewe kwa kufuata maelekezo ya kutoka kwenye kitabu Kitabu kipo kwenye lugha ya Kiswahili tuna 50k yangu nikutmie kitabu...Ila ukikitumia vibaya juu yako mm simo
  4. S

    Msaada wa sehemu ya kujishikiza wakuu; Hali ni mbaya

    Habari wakuu Week kadhaa nyuma nilileta Uzi wa kumba Akira ya medical lab ila Hadi Leo bado sijafanikiwa kupata Leo nakuja tena kwenu kama kuna MTU ana sehemu hata yakupata nauli Tu kwa siku pia nipate hata Ile sabbu Tu yakunitoa nyumbani Elimu yangu NI diploma, Nina skills kadhaa kama...
  5. S

    Ni muda muafaka wa kupokea ushuhuda kuhusu ule uzi wa tiba ya chumvi ya mawe wa Mshana Jr

    Tufanyeje kujikwamua mkuu sasa kiroho...sikuuoni huo Uzi wa mshana
  6. S

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Mimi sio shoga....ila fantasy yangu siku moja atokee mtu mwenye hadhi yake na nyazfa zke....nijaribu nae anal sex ......bythe very....first time
  7. S

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Medical laboratory technician ikitokea mnijuze wakuu
  8. S

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Ikitokea nafasi ya medical laboratory technician mnijuze wakuu
  9. S

    Ni msoto gani wa kimaisha uliowahi kuupitia, uliokufanya ujue maisha si lelemama?

    Ngojeni kwanza nitakuja na wangu nikishamaloza episode yangu Maana ndo inaendelea hivi picha bado mbichi kwangu.........
  10. S

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Safi sana ...wengine tutashinda hapa
  11. S

    Moyo unaniuma sana, nahisi nitapata ugonjwa wa moyo. Nimekata tamaa ya maisha, natamani Mungu anichukue

    Mkuu napitia hali kama yako na sitakata tamaa kamwe...Maana kesho haijulikani Tupambane mkuu kila kitu kutakua sawa. Hakuna shida ya milele
  12. S

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Mimi sina connection na ajira ila nina connection na work visa na permanent residency ukifika kazi unajichsnganya na wenyeji wako watakuseidia kupata Hyo ni gharama Maana ukwel watu kukutolea visa permit ya mwaka, ina cost had 3.5 milion na hapo ticket juu yako one way ticket kma laki 8 hivi...
Back
Top Bottom