Ni vyema sana! Mimi Nakubaliana kupima Kwanza kabla ya kumla na mara nyingi napima mwenyewe kabla ya kudu akigoma basi hakuna haja ya kugombana Mungu wangu.
Ndugu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza vipi kuna tofauti kati ya ndoa ya mwanamke aliyeachika kabla na kuolewa mara ya pili na yule aliyeingia kwenye ndoa kwa mara ya kwanza?
Wewe unasemaje kimtazamo au kwa uzoefu wako?
Mungu awape nguvu mdumu milele mkuu. Uwazi, upendo,uwajibikaji, na kushughulikiana ziwe tunu za maisha yenu.
Huku mkiwa huru ninyi kwa ninyi bila kufichana kitu.
Furaha jipe mwenyewe! Kila mmoja anajua Siku moja atakufa. Aina ya kifo Mungu ndiye anayejua.
Sasa woga wa nini kwa kuwa na vijisenti wakati kufa kupo tu?
Ebu ondoa wasiwasi kula ela kwa maandalizi ya kufa maana kupo palepale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.