Recent content by sky h

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo INEC wananavyoweza kuchakachua kura kupitia NIDA

    Haitatui tatizo.. hapo majina ya wapiga kura yabandikwe vituoni wiki mbili kabla.. wataje kabisa mtaa anaoishi na namba ya nyumba. Tujiridhishe kama ni watu wetu kweli
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hawana huruma kwa Wanaume. True story

    Demu alikua fair sana.. ulisema unachotaka nae Akasema anachitaka.. just simple kiutu uzima.. wala sio ukatili Bahati mbaya ukiwa huna hela kila kitu unakiona ghali mno.. hapo kuna wenzio wanaitoa million bila tabu.. Mimi nafikiri na wewe ungetangaza mapema kuwa hapa nina kiasi fulani tu kwa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuanzishwe kodi mpya na ikatwe sh 1000 kwa kila mwezi kwa kila mwenye line ya simu kama sehemu ya income tax

    Yuke "Mnyarwanda" amewahi sema akipewa nchi ya Tanzania aiongoze.. atatumia bandari tu kama chanzo cha mapato na nchi itaendelea. "Mzee wa hoja hazipigwi rungu" akakasirika na kuanza kufukuza wakimbizi
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi kusahihishiana mitihani shule ya msingi Kimandafu

    Mkumbuke pia kushauri serikari iongeze idadi ya walimu kabla hamjamlaumu mwalimu.. shule ina watoto 400 walimu 5, na mkuu akiwemo. Hii ina maana kila mwalimu ana karatasi zaidi ya 700 za kusahihisha, atasahihisha kwa usahihi?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nini hatma ya wamasai wa nchi hii

    Katika kutafuta pesa wako vizuri mno.. kuliko baadhi ya makabila. Ni majasiri wa kukamata fursa. Niambie ni fursa gani hawamo kabisa? Kila kabila lina utamaduni wao, na watu wenye maisha ya kawaida wanautumia kama fursa. Wengine kuchunga, wengine kilimo cha mkono, kuchonga vinyago nk. Ukisema...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Wengi hawajui siri zilizopo ndani ya vitabu hivi vya dini, yaani Biblia, Quran na Tanakh

    Siri nyingi ni siri kweli kweli.. hata ukizijua huwezi simulia mtu.. maana zinakua above normal understanding.. vinginevyo utazua taharuki mtaani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Wazazi kuna hizi shule za English Medium ni majina tu ila ni takataka. Lakini bado zipo!

    Mwalimu anaweza laumiwa.. huenda hajawa mpana. Mwanafunzi anaweza laumiwa.. huenda hayuko makini darasani Mzazi unaweza laumiwa.. huenda hufuatilii maendeleo ya mtoto, akirud home ni tv tu hadi anasahau vya shuleni. Mtaala unaweza laumiwa.. mwalimu anafundisha yaliyopo kwenye syllabus...sina...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa huenda 90% ya Degree hazina tena maana, hazikupi ajira wala maarifa ya kupata kipato

    Hamna haja ya kulalamika wakati mnafurahia kufaulisha 100%. Mitihani inatakiwa iwe migumu ili tupate wahitimu wachache wanaohitajika. Dunia haihitaji watu wengi wenye degree.. inahitaji watendaji, mafundi wengi ambao ni certificate.. na wasimamizi wachache wa kati ambao ni diploma.. degree...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Waislam hawakushiriki kwenye biashara ya utumwa na vita kuu za dunia

    Kinachonishangaza na kunichosha ni bidii yenu ya kuifia dini za kigeni eti ni safi... Dini safi ni zile za kiafrika tulizotelekeza.. kama matoto yasiyojielewa. BABU ZETU WATUSAMEHE kama watuona huko waliko.
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eti anadai hawezi kwa sababu mimi ni mama wa mwanaye!

    True...mke, ni mama. Mnaposhauriana na kujengana, ni mama watoto anapokua kwenye malezi.. ni superwoman anapokua kwenye ujasiliamali... Ni mhudumu anapokuwa sebuleni.. ni mpishi bora anapokua jikoni.. ni mpenzi na malaya mpenda ngono anapokua chumbani kitandani
  11. S

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

    Nini maana ya maoni.. mtu anapohisi anaibiwa asiseme..?? au kisa anaemhisi ni raisi ndio augulie moyoni.. hiyo itakua amani?? Ni kazi yako ww ambaye una uhakika kila kitu kiko sawa kutushawish kwa hoja zisizo na mashaka kuwa hatima ya wanetu iko salama kwenye mikataba isiyo na kikomo...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

    Anaetoka chuo ni mwalimu kamili.. ila wanatofautiana uwezo. Nadhani ni sahihi kuchuja upya ili kupata walio bora zaidi kwa ufanisi wa kazi.. kama wanavyofanya private schools
  13. S

    JamiiForums Tanzania Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Pole.. matumiz ya nguvu, hisia na ujuzi mwingi hayasaidii. JIFUNZE KUTAFAKARI KILA NENO KWA BUSARA. utapata hekima. Naona unajua mengi.. ila huna akili. MPENDE MUNGU WAKO KWA MOYO.. NGUVU, NA AKILI PIA
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu hamjanielewa naposema "Mwanamke ni chombo Cha Starehe" Sasa nieleweke hivi !!.

    Em tupunguze emotion kwenye fact.. mama zetu nao ni wanawake.. HIZI SIO KEJELI KWAO.. NI HESHIMA KWAO.. NDIPO ILIPO NGUVU YAO. Ukiplay vizuri kumstarehesha Mumeo kwenye hayo majukumu aliyoyataja hapo juu, utakuwa mke mwenye nguvu. Hivyo hivyo kwa mama zetu. Kama walidumu katika ndoa na...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Nafikiri wamekosea kumsimulia walichomfanya.. mwamba lazima kuwa anajua namna ya kufight hiyo hali.. atakapo rejea atawaonesha kwanini anaitwa MFALME WA WAFU.
Back
Top Bottom