Recent content by Skull App

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Masters ya Education inatambukika na TCU?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Sio free, early stage wanataka $60
  3. S

    JamiiForums Tanzania Wapi chimbo lenye vaibu leo?

    Sudan Hotel, Tuko na wali wa Salma Jeuri😂
  4. S

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watoto wa maboss huwanyanyasa kingono wasaidizi wa kazi za nyumbani

    Dah! Mungu akutunze ili tuendelee kukutumia.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hongera RITA kwa mfumo mzuri wa online services

    Kwangu inahitaji ni upload signed form, je kwako ulipitia hatua hii baada ya kufanya malipo?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Zama za kuunga bando za kawaida zinaisha, Wi-fi na fiber zinachukua nafasi kutokana na faida zake lukuki!

    Nahitaji kuunganisha SIM card yangu na Unlimited internet, WIFI device ninayo. Gharama ni Tsh ngapi?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Ni huzuni sana

    Habari wakuu Nimejaribu kupitia nyuzi za waliomba msaada wa njia nzuri za kujiua wameandikiwa R.I.P kwenye profile zao. Hii inamaanisha wapendwa wetu walikua na Nia ya kweli ya kujiua. Muhimu: Tusiweke mawazo yasiyofaa au ya kubeza tukiona hizi nyuzi, wenzetu wanahitaji faraja na mawazo...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mchezo wa derby kurudiwa sio suluhisho la haki

    Je, walihairisha mechi kabla ya masaa 72 ya tarehe ya mechi iliyopangwa awali?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wazo la biashara ya internet uswahilini

    Elezea kidogo hii Mkuu, huwa unafanyaje? *Changamoto *ISP unatumia yupo? *Taratibu za vibali
  10. S

    JamiiForums Tanzania Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

    Nipe option za Shule unazotaka Mkuu, tuanze kupambania kombe
  11. S

    JamiiForums Tanzania Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

    Pwani -Kisarawe hutaki?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Hali inatisha sana! Kujiuza imekuwa fashion

    Kwa hiyo, short time inachukua muda gani? Mpaka upate muda ya kumnunulia chakula, kumvutisha shisha n.k
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Tumia BBE au SCABOMA
  14. S

    JamiiForums Tanzania Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

    🤐
Back
Top Bottom