Sasa huyo jamaa ameamua kuachana na aliyekua mke wake mtarajiwa kwa kisa cha kuigiza vipi kama response ya mwanamke nayo ilikuwa ya kuigiza labda nae kuna vitu alikuwa anaviangalia kwake
Nikweli yapo madhaifu ambayo mwanamke akiwa nayo hapaswi kabisa kuwa mke.
Mkiishi maisha ya uchumba hata mwaka 1 inatosha (tena yawe maisha halisi sio ya kuigiza na kupeana majaribu)
Wewe kumuigizia mkeo mtarajiwa eti umefukuzwa kazi ni kosa kubwa sana hata mkiwa kwenye ndoa utakua unamdanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.