Recent content by SK2016

  1. SK2016

    Wanawake wananitumia kisha wanaondoka

    18 ni wachache sana. Kikao kilichopita tulijadili ili uoe na kujutia labda ufikishe ke 30. Pole sana brother, Kiukweli kwenye relationship usipokuwa makini na usipowekeza kwenye akili na kujifahamu, utaishia kutengeneza kipato kwa ajili ya mabinti na wanawake. Ushauri wangu kwako. 1. Uwe na...
  2. SK2016

    Kwanini Samia mnamuita "Mama" ?

    Chukua 1kg ya nyama nakuja kulipia. Kwenye Taifa hili tuna watu wachache wenye akili kama wewe.
  3. SK2016

    Bora nikusanye mbwa na paka wa mtaani niwalee kuliko kusomesha mdada eti kisa mapenzi na ahadi ya kuoana

    Kwani kwenye kikao cha Wanaume kilichopita ilikuwa agenda namba ngapi? Itabidi hili jambo lizungumzwe upya. Naona wengine wanazidiwa na ujanja. 1. Ku-fake Upendo kama Delila 2. Ushamba au Kushobokea mapenzi 3. Kulogwa au limbwata, n.k. Kikao kijacho, Ukipata Taarifa au Kujua kuna mtu...
  4. SK2016

    Wanaohamasisha kuandamana wapo nje ni kuhamasishwa na waoga

    Maisha tunayoishi tu ni maandamano tosha ambayo hayajapata majibu kutoka juu.
  5. SK2016

    Wanaoenda lodge na wake za watu mmekwisha kuweni makini, ni hatari hii

    Lodge nyingi na hotels nyingi si salama kabisa kwa mapenzi ya siri. Lazima uwe legend unapokwenda lodge.
  6. SK2016

    Kwa nini Wanaume wengi Wanajihusisha na Mahusiano na Mke wa Mtu?

    1. Usiri 2. Cheaper 3. Ustaarabu 4. Magendo yanalipa sana It's very dangerous.
  7. SK2016

    Unapokumbatiana na mwanamke, mwanaume hakikisha unazingatia hili

    Hiyo point kwenye kikao cha Wanaume kijacho tutaipendekeza. Hakikisha unakuja na hoja nyingine pia.
  8. SK2016

    Demu kanikata stimu huyu

    Unaahirishaje game kwa sababu za kipuuzi? Rudi geto kula mzigo ulete mrejesho. Mbona unashusha taaluma, wakati sisi tunapambana kuipandisha!?
  9. SK2016

    Jamaa yangu kamfuma house gelo wake anampiga chabo mkewe akiwa anaoga

    House girl yupo field anachunguza mambo kwa ufasaha aone wapi atapata points 3 za ushindi. We unadhani hana moyo?
  10. SK2016

    Ulikutanaje na rafiki yako ambaye kwa sasa ni kama ndugu yako

    1. Shuleni (Advance level) Hadi sasa ni zaidi ya ndugu zangu. 2. Nairobi, kama mtu wa kawaida tu au rafiki ila hadi leo ni zaidi ya ndugu zangu. Kila mtu anayekujia kwenye maisha yako, usimdharau. Wengine ndiyo watakaokutoa kimaisha au kibiashara au kikazi. Ila kuwa makini na kenge nao wamo.
  11. SK2016

    Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

    Dah! Pole sana kiongozi, Mambo mengine ni balaa!!! Ni ngumu kuvumilia na ngumu kuendelea. Naomba uzungumze naye hali unayoisikia pindi ukutanapo kwa bed, ili upate nafasi ya kumpeleka hospital au kwa nurse ili kupata suruhisho. Usimuache, huyo tayari ni wako, msaidie kama atakuwa tayari kusaidika.
  12. SK2016

    Kwanini wanaume ndio hutawala tendo la kula uroda?

    Mwanaume ameumbwa na kupewa jukumu la kutawala kila sekta. Sema basi tu, mambo yanabadilika ila siyo mpango wa Mungu.
  13. SK2016

    Mtazamo: Rost tamu anaweza kutangulizwa ili wanasiasa wa kundi lake wabaki salama. Lengo asije kutumika kuwataja siku moja huko mbeleni

    Umeongea jambo kubwa sana ndugu. Kwa hili game lilivyo, linahitaji umakini wa kiwango cha juu sana. Ametajwa sana kwenye midomo ya watu.
Back
Top Bottom