Recent content by siyawezimatatizo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

    Wanachonishangazaga watanzania Kila nada inayoletwa wanachangia, kwa hiyo watz wote ni ma jeneous. Mtu hata neno Forex ndio analiona kwa mara ya kwanza ila anatililika ni hatari.
  2. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mbogwe: Mwanafunzi apewa mimba na Mwalimu Mkuu, watendaji wapokea rushwa kuficha tukio

    Peleka hizo taarifa kwa afisa elimu, mkurugenzi, takukuru. Kama huoni sababu ya kupeleka katika vyombo hivyo hapo juu wewe inabidi uitwe mnafiki na mchonganishi.
  3. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mbogwe: Mwanafunzi apewa mimba na Mwalimu Mkuu, watendaji wapokea rushwa kuficha tukio

    Mleta malalamiko kama ana uhakika na anachosema kwa Nini asitoe taarifa kwenye vyombo husika badala yake anakuja kubwabwaja mtandaoni, hivi watz tumepatwa na nn?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Jamii inamchukuliaje Mwalimu?

    MWALIMU NA JAMII Kumekuwa na tabia za kumshambulia mwalimu kila mara anapofanya kosa hasa kwenye mitandao ya kijamii. Ni rahisi sana jamii yetu kukimbilia kuona makosa ya mwalimu na sio mema yake. Mwalimu ni binadamu kama wengine. [emoji404]Anaweza kushikwa na hasira za kupindukia kutegemea...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Uharifu Mpanda unazidi kushika kasi

    Nimeona tujadili wahenga. Ni muda Sasa unazidi kwenda tangu matukio ya mauaji, ukabaji wa vikundi kama damu chafuna manyigu, kwa Sasa la mauaji kwa wanawake halafu wanakatwa sehemu za Siri na matiti lakini hakuna operation yoyote inayofanywa na vyombo vya ulinzi. Wananchi wa Mpanda- Katavi tuna...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia toa tamko kuhusu NSSF kujiamulia Sheria iliyozuiliwa na Hayati Magufuli mpaka 2023

    Huku watu hawachangii wakati hili linagusa maisha ya watu moja kwa moja, Mimi binafsi naomba mama alisimamie Hilo watu wamefanya kazi katika mazingira maguma huku wakichangia alafu unastafu unaambiwa utalipwa 25% hii ni dhuruma kwa watumishi.
  7. S

    JamiiForums Tanzania RITA mlituletea huduma mtandao mkiwa na lengo la kupunguza foleni katika maofisi yenu, huduma hii ya online ni mbovu mno

    Mimi nimetuma maombi ya cheti cha mwanangu zaidi ya mara tatu na mara zote hizo nimekatwa zaidi ya Tsh. 16,000/= naambiwa mara Kadi siyo original napiga simu zao ni feki naona Rita walikua hawajajipanga kutuhudumia kwa njia ya mtandao watuambie Kama ni kweli wapo online au la ninahisi ni Kama...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Je, ni dhambi kwa Mlokole kufanya kazi katika kiwanda cha kutengeneza pombe?

    Angalia na watu wanaokushauri. Hebu fikiria kwa mfano ni halali mlokole kukoroga pombe, ni halalimlokole kuuza po mbe? Kama jibu ni hapana na hiyo kaxi ni hapana lasivyo Nina mashaka na ulokole wako huwezi let's bandiko kama Hilo hapa Kama ww no mlokole kwelikweli.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Hapa hamna kisingizio tena

    Kumuishia kristo ni pamoja na kukubaliana nae kwa Kila alilolifanya, hivyo katika ubatizo alibatizwa kwa kuzamishwa na baada ya kuibuka jutoka kwenye maji sauti ilisikika kutoka mbinguni ikisema "huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni yeye" je tufuate mfano wa ubatizo upi was yesu au summary ya...
  10. S

    JamiiForums Tanzania CWT waunga mkono uanzishwaji wa bodi ya kitaalam ya walimu Tanzania

    Wewe uliyeleta mada ni mwanachama wa CWT?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Sato bei poa kulingana na uzito

    Iko wilaya, na mkoa gani hiyo kamilisha tangazo lako kiongozi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa Lawson haupatikani; Tatizo ni nini?

    Sasa Mimi mnanihanganya, Kama mfumo was Lawson unasumbua mbonamisharailitoka au mnaamua tu kuichafua serikal
  13. S

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Baada ya kusikia eti mapapai Yana Corona nilijua Kuna watu wanaenda kuharibiwa feature zao tuombe mama wakumbuke watu Hawa walioonewa. Poleni wataalamu wetu lakini Mungu ni mwema.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hayati Magufuli hakuamua kuwa mkweli

    Yeye anaesema tunakela alete zisizokela afu wengine tunamaindi Sana uongo unadanganya kwa masilahi ya nani
Back
Top Bottom