Recent content by siwila16

  1. S

    Uhujumu Uchumi: Shehena kubwa ya bidhaa toka ng'ambo yakamatwa Bandari bubu Tanga

    Bora wakamatwe. Just tu nimekuja mzigo kuwa kufungua nitakuwa zimechanywa mpya na zilizo expire zote zimefungwa Kwenye box moja.
  2. S

    Wadada wenye vitambi wanaboa

    Kuna ambao matumbo yao ndo yalivyo ila wengi wanapata vitamin baada ya kuzaa. Na most of them ni wale wanaozaa kwa kisu. Sababu mtu akipasuliwa hawezi fanya njaa za ajili za kurudisha tumbo. Akilazimisha anaweza kufumua nyuzi. Na hii ni kwa sababu zoezi hilo linatakiwa kufanywa mara tu baada ya...
  3. S

    Nina ushuhuda mzito sana kuhusu huyu dada kupanda vyeo

    Nadhani hili limewauma wengi kwa sababu ni mke wa mtu. Vyeo vingine hapa Tz na hasa Siku zilizopita asilimia kubwa ya viongozi walikuwa wanapewa vyeo kutokana na sababu fulani za kujuana au hata rushwa. Na kwa baadhi bado wanaendelea na mtindo huo. Majipu ni mengi kuyatumbua yaishe itachukua Muda.
  4. S

    Serikali imefuta service charge za TANESCO (Kanusho)

    Naona itawezekana hii ni kwa baadhi ya watu. Mbona wengine matumizi yetu ni chini ya hizo unit lakini service charge tunakatwa!!
  5. S

    Usiingilie kazi za watu

    Wakosoaji Siku zote wanaona kasoro tu. Haha kawarekebisha ni rahisi, weka utaratibu ili kwamba kila anayeona kasoro badala ya kukosoa aweke marekebisho ya ile kasoro. Wakosoaji watapungua na hata kutosha kabisa, kawaida Wakosoaji ni wavivu wa kufikiri. Yeye anachoweza ni kuona kasoro tu...
  6. S

    Over speed kwa private car sio kosa!!

    Taratibu zote zinawekwa kwa manufaa ya dereva abiria na watu wengine na pia vyombo vingine vya usafiri barabarani
  7. S

    Kaniwekea dawa za kulevya kwenye wine na kunibaka

    Nadhani hili ni fundisho kwa mabinti wengine. Binti kuwa nje ya nyumbani kwako mpaka usiku mwingi ni habari. Na hatari zinazoweza kumkabili Mtoto wa kike au mwanamke ni nyingi kuliko wanaume na vijana wa kumi. Na pale mwanamke anapokuwa anategemea ulinzi wa mtu ambaye si baba yake na wala ndugu...
  8. S

    Kaniwekea dawa za kulevya kwenye wine na kunibaka

    Pole kwa yaliyokukuta. Ni pm kwa ushauri
Back
Top Bottom