Recent content by sitagliptin

  1. sitagliptin

    Report ya CAG na upotevu wa nyeti wanaume umegundua nini?

    Habari mi sio mtaalamu sana ila kwann ishu ya nyeti imekuja kipindi hiki? Ambapo report ya cag inahadiliwa na watanzania Wakati huu pia report ya October ikisubiliwa Kwann nyeti zimepotea tunduma kwa watukutu imefika mbeya kabwe na sasa watoto wa gaza kimara? Ukweli kuhusu nyeti huenda ni...
  2. sitagliptin

    Je, ni kweli Bei ya mafuta Zanzibar iko chini kuliko huku Bara?

    Naomba kujua sio kwa ubaya pia kwanini Tanzania bara na Zanzibar bei ya mafuta zinapishana sana? Bei ya Tanzania 4000 lakini Zanzibar ni 2900 Sisi ni nchi moja ila kwann tunatofaut kubwa sana hapa, Kwann mamlaka zetu wajifunze kwa wenzetu?
  3. sitagliptin

    Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

    Anayekipata ni mtoto wa Mungu wa mchongo madhara haya yapo wazi sio ya chumbani kaka Polen sana Israel saiv watu wanakimbia nchi wanakuwa wakimbizi Wapi umeona miran mkimbizi
  4. sitagliptin

    Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

    Kufa kwa imamu sio mwisho wa ibada,
  5. sitagliptin

    KERO Udhalilishaji kwa Watumishi na Nidhamu Mbovu ya Msimamizi wa Maktaba ya Mkoa Iringa iliyopo chini ya TLSB

    Wewe sio mdau wewe ni mtumishi wa maktaba na uliajiliwa dr mcharazo akiwa mkurugenzi wa huduma a kwa sasa unakitaka cheo baada ya kujiendeleza masomo, conso pis imenyooka sana kwenye kazi
  6. sitagliptin

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Labda khemei wa mtwara nikisai Jamaa yupo teleeeee
  7. sitagliptin

    DOKEZO Serikali iruhusu Hospitali Binafsi kuchangisha damu, itasaidia wakati wa matumizi ya dharura kuliko ilivyo sasa

    Hapana tukiruhusu taasisi binafs usalama wa afya utakuwa mdogo sana wagonjwa watapewa damu ambazo haziko salama na inaweza kutumika vibaya, private imejikitika kibiashara zaid upande wa serikali pia sio kila kituo kinaruhusiwa ishi ni uwezo wa kuzimonitor
  8. sitagliptin

    Imekuwa ni nadra sana kukuta waislam katika makabila haya

    Mnyakyusa kuitwa juma sio usisalamu wapp kibao afu wakristo na nadhani hata andambwile ni mkristo
  9. sitagliptin

    Rais Samia awateua Dkt. Mpango na Kassim Majaliwa kuwa washauri wake

    Wanaletwa karibu ili kuwaona na kuwazuia kupanga ambayo hayafai kwa taifa Mpango ndo hataki kabisa lile jengo sijui kwann
  10. sitagliptin

    Ijue Taasisi ya Madrid Bar Association waliomshitaki Samia ICC

    Ulitaka ashtakiwe na wanaompenda?
  11. sitagliptin

    Fitina za marekani zafeli Iran,sasa kuishambulia

    Marekan hana uwezo wa kushambulia iran
  12. sitagliptin

    Wanawake Iran wachoma hijab barabarani

    Kupigania haki za watu tuko vi,ur Ola yetu hatuwezi we African
  13. sitagliptin

    Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

    Ndugu mwandishi ungekuwa na akili timamu wewe binafsi ungekubali kutumia tecno?
  14. sitagliptin

    Msaada: Nimepima presha ipo juu

    Acha kula vyakula vya mafuta chumvi sana wanga Ishi kama kwa utaratibu hasira, Ondoa chuki kufatilia ambayo hayatuhusu Kuwa wa kuupuzia mambo mengine ambayo sio muhimu kwako Mazoez kiasi kula kwa wakati lala kwa wakati
Back
Top Bottom