N bora ungezipiga nyuma tukajua jina la dawa, zlizonying znafanana rangi na umbo. Hafu pia ungemuuliza anaumwa nn kuliko kumdukua na huku ungekuja kuthbitisha kama taarifa zake n kweli.
Jimboni hospital znafungwa kwa kukosa wafanyakazi ,Leo tunatumia bilioni moja kuruhusu kumuunga mkono mtu mmoja . tunazd kucheka kwa kujitekenya kwa kweli.
Mkuu cyo hilo tuu hata ujenzi wa rami kutoka nyakanazi kigoma unasuasua na hakuna hata mkandarasi mmoja alotikiswa au kufukizwa kazi kama kwingine mpaka nafikiri kampuni inayojenga ni ya mtumbuaji ambaye hawezi kujitumbua mwenyewe
Mkurungezi hapo amelala pamoja na madiwan, na nkamia zama za kupata ubunge na kuishi nje na jimbo zilipendwa, wapga kura tubadl mfumo achaguliwe aliye na familia jimbon.
Mkulu amejitahidi kukusanya kodi ili kuinua uchumi na kafanikiwa, lakini kabaka Sera ya elimu bure ambapo pato hutoka point A kwenda point B. Kifupi ni sawa na kuchimba shimo na kulifukia bila kujua kama unapoteza nguvu.
Tz true, kikubwa hata elimu zetu za dini zinatufanya kua na mawazo tegemezi kwani kila tufkapo ukomo wa kuwaza humwachia mungu badala ya kusaka ugumu ulipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.