Recent content by Sisa kwisegendela

  1. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mashabiki wa Simba wagoma kumshangilia Rais Samia akitoa salam katika tukio la Simba day

    Wamelazimisha watu kuitikia holla, wakaona bora waseme wao waitikie wao
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tunaweza tusiwepo, ila maandishi yanabaki: Nina maono

    Ndo maana Idd Amini alipoona wazee na Vikongwe wanamchelewesha, Akaleta Tipa za kutosha akawajaza na kwenda kuwabinua Victoria, unawahisha mchakato. Mambo ya kusubiri mzee aliyemkariri Nyerere hadi afe yatachelewesha sana mabadiliko, hao ndo wanawapa kichwa hawa mijusi
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tunaweza tusiwepo, ila maandishi yanabaki: Nina maono

    Uliona wapi mkuu?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tunaweza tusiwepo, ila maandishi yanabaki: Nina maono

    Tumeisubiri hiyo siku na tumechoka
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tuzogoe: Uliza swali la kizushi, tukujibu!

    Aunt : mwanamke akizeeka na nyapu inakua na makunyanzi? Speak from your own experience.
  6. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia akiapishwa Urais aongoze nchi bila kuwabembeleza Watanzania wala kuwapa Uhuru Uliopitiliza

    Maadam umetumia neno "Watanzania" sisi ndio wenye mamlaka yote, akiona hatuishi nongwa ang'atuke tu kulikoni kuwaganda watu wasiokutaka? BTW wewe ni ng'ombe
  7. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Wote wanawake mngekua kama huyu maisha yangekua rahisi sana
  8. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Kama alikubali masharti hayo kipindi cha uchumba then baadae uanze kua na demand nje ya yale ya mwanzo, kosa ni lako. Kama mwanaume hana uwezo wa kuhudumia ukoo wa mwanamke akaibe? Hakuna sheria inayomlazimu mwanaume kuhudumia wazazi wa mke exept asipohudumia familia yake aliyoianzisha yeye...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    A coin has two sides bro, kwa akili tu ya kawaida vitendo vya mwamba kweli si vya kiutu ila kwa mtu timamu hawezi fanya hayo matukio without the reasons behind, as long as mwanamke hajalitamka la changamoto ya akili basi halipo.. Kuna sababu zingine zinapelekea mwamba kua hivo, tungezijua...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Shida nyie viumbe hamjawahi kujua kudhibiti kiburi mpatapo kauwezo kidogo, tumesikia story ya upande mmoja tu, tungepata na ya upande wa pili we could judge better Comment moja matata sana
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Shida nyie viumbe hamjawahi kujua kudhibiti kiburi mpatapo kauwezo kidogo, tumesikia story ya upande mmoja tu, tungepata na ya upande wa pili we could judge better
  12. S

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume chukueni ushauri huu

    Hayajakukuta,
Back
Top Bottom