Mdada mwenye bachelor ya account anahitajika kwa ajili ya kujitolea kwa vijanaassembly....
Mwishoni mwezi wa 3 atatakiwa kusafiri south Africa kwa ajili ya mafunzo....
Mwenye sifa hizo anitafte kupitia 0766922800... Kabla ya kesho SAA NNE asubuhi.....
Please naomba......mjitokeze
Habari za wakati huu wana JF,
Sijui mimi ni mtu wa namna gani yaani siwezi kutulia hata siku bila kufanya hivyo. Msaada please. Nampenda sana mpenzi wangu ingawaje yuko mbali nami siwezi kufanya usaliti ni kwa jinsi gani naweza kujizuia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.