Recent content by sirnare

  1. S

    Mwenye bachelor ya account

    Mdada mwenye bachelor ya account anahitajika kwa ajili ya kujitolea kwa vijanaassembly.... Mwishoni mwezi wa 3 atatakiwa kusafiri south Africa kwa ajili ya mafunzo.... Mwenye sifa hizo anitafte kupitia 0766922800... Kabla ya kesho SAA NNE asubuhi..... Please naomba......mjitokeze
  2. S

    Ni kwa jinsi gani naweza kumpunguza hamu ya kufanya mapenzi?

    Habari za wakati huu wana JF, Sijui mimi ni mtu wa namna gani yaani siwezi kutulia hata siku bila kufanya hivyo. Msaada please. Nampenda sana mpenzi wangu ingawaje yuko mbali nami siwezi kufanya usaliti ni kwa jinsi gani naweza kujizuia?
  3. S

    Hivi ni urefu gani ndo mtu anakua considered kama ana kibamia?

    Mi yangu nchi tano lkn sijawahi kupata lawama zozote?!!!
  4. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Ila kuna wengine basi tu ingawa nasoma psychology lkn nashindwa kuwavumilia
  5. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Hivi wazembe wakiacha kupost ujinga watapungukiwa nn?
  6. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Ahaaaaa....nilikua na hamu ya kumpata mpenzi Ila sasa mpaka natamani ku postpone
  7. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Samahani kama imekugusa
  8. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Kweli basi yaani nikifanikiwa ktk hili wachaga ctaki hata urafiki now
  9. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Hayo makosa madogo tu puuzia
  10. S

    Natamani kumuacha ila nashindwa

    Kwa kweli hapana
Back
Top Bottom