mimi ninachoona wameamua kumtumia huyu jamaa ambaye alikuwa mpambe wa Magufuli ili kuleta utulivu maana Magu yupo mioyoni mwa watanzania hata sasa na hata hawa wapambe wake nyuso zao zinapata heshima kutoka kwa watanzania si kwa kingine bali walikuwa wakimlinda mzalendo wa kweli ambaye alikuwa...
kuna mtu mmoja alikuwa analalamika kwamba kabla ya kununua oppo alikuwa na infinix na account yake ya what's up ilikuwa vizuri tu ila mara ya ku download app ya what's up
biashara ya grocery inahitaji mtu mwenye discipline ya fedha sana kwa sababu faida zake ni ndogo mno tofauti na biashara nyingine unakuta mtu anakula faida pasu kwa pasu .
Hoja yake ni ya kitoto sana, kwa hiyo polisi ndio wapate uhalali wa kukamata watu na kuwazalilisha ndani ya viunga vya mahakama eneo ambalo ni common ground kwa wote.
sababu kuna uchaguzi wa Rais na rais aliyopo madaraka ni mwanamke na hii issue imeenda viral na imegusa hisia za watu ,ili ionekane mama anapiga kazi na huruma na anajali licha ya kwamba mdai ana onekana ana haki huenda huyu mama akapendelewa .
Iwe hivi makamu awe anatawala miezi mitatu alafu mchakato uaze upya hapo hapo na yeye asiwepo katika presidential race hii italeta kuheshimiana na makamu kuwa mlizi wa Rais badala ya makamu kumtakia mabaya bosi wake .
Ujanja ujanja ndio sifa za mtu mweusi , njia pekee inayofanya kuwa na uwajibikaji ni kuruhusu demokrasia original itamalaki kwa sababu kiongozi ukifanya uzembe ,ujinga unajua ya kwamba utakataliwa kwenye sanduku la kura . Demokrasia maana yake ni option kwa mlaji ambaye ni mwananchi kumchugua...
Uongozi wa juu kabisa ndio,unatoa taswira kwamba twende vipi ukiona kuna complacent chini tambua kule juu ndio wanasababisha, kivipi ? Askari ambaye atakuwa patriotic front anaweza tengenezewa zengwe either ahamishiwe maporini akashindane na ngedere ,ashushwe cheo au whatever sasa hii inaondoa...
Ule ulikuwa mtego na mtetea Lema kwa hili , Lema ni miongoni mwa watu ambao wapo katika rada za watu flani humu tz au kwa lugha nyingine katika mpira wa miguu ana kadi mbili za njano sasa ulewake ajichanganye anakula red na yeye ni kiuongo muhimu katika mchezo ,hata yeye analijia hilo ndio maana...
Kwa hiyo wale askari pale majuzi mahakamani ni miongoni mwa watu ambao huenda wana dhana potofu juu ya hii abbreviation ya FFU , maana its doesn't make sense kama kweli hivi ndivyo wanavyofundishwa vyuoni.
TAL kwa mazingira yanavyo onekana hawezi kuachiwa leo maana kama ingekuwa ni kuachiwa , ijumaa ya tarehe 12 /9 ndio ilikuwa right time. Kama mnakumbuka kipindi kile Godbless Lema akiwa katika long detention kuna kauli moja aliizungumza Magufuli kwamba kuna watu mnapo deal nao mkitumia sheria...
ila Mpina why did he join ACT ? unajua alishatengeza imani kubwa kwa wapenda mabadiliko wa kweli kiasa kwamba angeunga hii kampeni ya no reforms no election angekuwa bonge la mwanasiasa mwenye ushawishi kwa wananchi. Kwa kukubali kujiunga na chama cha ACT wazalendo kwa scenario zinazoendelea na...
sawa sawa kabisa ila angefanya reforms za hao wapizani wanazozitaka alafu aende nao kwenye sanduku la kupigia kura ushindi wake utakuwa wa halali na wenye baraka .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.