Recent content by Siri ya sifuri

  1. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Ati, "inategemea". 🤮

    "Inategemea; hicho sio kiswahili kizuri kwa swali kama hilo, labda angeulizwa utaenda kunyoa au kusuka!?
  2. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Usikute Wema na Whozu walinunua mtoto kwa mkataba wa mzazi kutojihusisha na chochote kuhusu mtoto.

    Inamaana hata huo ujumbe mfupi wa kizushi hujasoma hadi mwisho!?
  3. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Iran yawasilisha maombi yake yasiyotimizika kwa Marekani!!

    Habari imetufikia, vipi unamaoni yoyote au nawe pia umeridhia!?
  4. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Lakini mimi sijajibu kwenye ujumbe wako,nimechangia majibu kwa aliekujibu.
  5. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani kushindwa vita mashariki ya kati, Israel haitaweza tena kujilinda

    Dogo kimbia sio Skrepa hilo!😂🤣
  6. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Ushauri ndio huo,kazi ni kwake sasa!.
  7. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Madhara ya Kula Ugolo

    😂🤣Hao ndio huitwa "wakorofi"
  8. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Anataka tu kuona akiamka asubuhi iwe imesimama na akitaka kulala usiku iwe imesimama!.
  9. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)

    Tuache ujuaji au sio!? Ubunifu iwe kwa ajili ya mwanaume yeye mwenyewe akishajimaliza amsikilize mshirika wake anataka nini!?
  10. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Netanyahu kumpatia Trump ushahidi mzito mpango wa siri wa Iran kuendelea kutengeneza Silaha za Nyuklia

    Hakuna siri hapo,mara kadhaa Iran imezungumzia waziwazi juu ya programe yake ya nyuklia kwamba ni haki yao kisheria na hawawezi kamwe kuachana nayo.Ni juzi tu huyohuyo Netapaka alitangaza kugundua mpango wa siri wa Iran kutaka kumuua Trump, kitu ambacho hata yeye mwenyewe Trump kimemshangaza...
  11. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel amethibitisha kuwa Marekani wanatumia Base za Israel kuishambulia Iran.

    Sijajua ujasiri wa kuikashifu Iran na kuitukuza Israel mnautoa wapi! Hivi umesahau au umeamua tu kupuuza record za Iran kuidunda Israel!? Mara ya mwisho kwa Iran kuiadabisha Israel ni pale walipoamua kujitolea kulipa kisasi kwa niaba ya taifa la Lebanoon baada ya Israel kuishambulia Lebanoon...
  12. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania CENTCOM imekiri kuuliwa kwa baadhi ya wanajeshi wa kimarekani kadhaa nchini Jordan baada ya mashambulizi ya makombora balistiki ya Iran usiku wa Jana

    Ni hasara kubwa mno kuwa na ndugu,jamaa,majirani au washirika wa namna hii. Ni kheri mara zote kujitenga nao ukaishi kivyako.
  13. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Nisahihishe kama si kweli, lakini Iran haina hofu sana na Marekani, Inayemwogopa hasa ni Benjamin Netanyahu

    Kupenda kubaya kaka! na duniani hakuna asiependa.
  14. Siri ya sifuri

    JamiiForums Tanzania Nisahihishe kama si kweli, lakini Iran haina hofu sana na Marekani, Inayemwogopa hasa ni Benjamin Netanyahu

    Wapiga debe tu hao,hawana ukweli wowote wanaouzungumzia. Kama Israel ina nguvu kubwa kwanini kajitenga na Vita walivyovianza pamoja na kuiacha Marekani peke yake!? Kama Iran ni dhaifu au waoga wanaweza kuendeleza Vita kwenye maeneo mengine zaidi haliyakuwa Marekani na Israel wanapokezana!?
Back
Top Bottom