Maisha mkuu:
"Maskini hali atakacho anakula apatacho;kuna wakati unajikuta umevutwa tu mahala ambapo hata wewe mwenyewe hukupatarajia, lakini ukajihisi upo salama na mwenye amani basi unaamua kutulia,sikwamba ni chaguo bali pamekufaa.basi ni ipi Busara,Hekima ama Akili kutulia mahala hapo au...
Mbona imeshatokea hapahapa nchini!
aliepata kuwa Rais wa Zanzibar mheshimiwa Abdul Jumbe mwinyi alikamatwa na kuwekwa kizuizini baada ya kushindwa kukubaliana jambo na rais wa Tanzania wawakati huo mheshimiwa JK nyerere.
Kama aliekuwa rais wa Venezuela Nikolaus maduro angealikwa ikulu kwa ajili ya mazungumzo na rais wa marekan Donald trump na wakashindwa kukubaliana jambo unadhani ni nini kingetokea!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.