Hakuna siri hapo,mara kadhaa Iran imezungumzia waziwazi juu ya programe yake ya nyuklia kwamba ni haki yao kisheria na hawawezi kamwe kuachana nayo.Ni juzi tu huyohuyo Netapaka alitangaza kugundua mpango wa siri wa Iran kutaka kumuua Trump, kitu ambacho hata yeye mwenyewe Trump kimemshangaza...
Sijajua ujasiri wa kuikashifu Iran na kuitukuza Israel mnautoa wapi!
Hivi umesahau au umeamua tu kupuuza record za Iran kuidunda Israel!? Mara ya mwisho kwa Iran kuiadabisha Israel ni pale walipoamua kujitolea kulipa kisasi kwa niaba ya taifa la Lebanoon baada ya Israel kuishambulia Lebanoon...
Wapiga debe tu hao,hawana ukweli wowote wanaouzungumzia. Kama Israel ina nguvu kubwa kwanini kajitenga na Vita walivyovianza pamoja na kuiacha Marekani peke yake!?
Kama Iran ni dhaifu au waoga wanaweza kuendeleza Vita kwenye maeneo mengine zaidi haliyakuwa Marekani na Israel wanapokezana!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.