Recent content by Siri ya sifuri

  1. Siri ya sifuri

    Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Naam,mwendo wa mawaziri wakuu tu,hata kwa Afrika yote kusingekuwa na maswali yasiyo na majibu.
  2. Siri ya sifuri

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    M' Ukraine halisi, Sina mashaka kabisa kwa uwepo wako,iwe kicheko au kilio, kikubwa uhai tu!
  3. Siri ya sifuri

    Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

    Mkuu hebu tuekane sawa kwanza,hivi hayo yanayoitwa mafanikio ya Esrael kutokana na shambulizi la Iran yamepatikana baada ya kulindwa vyema na washirika wake au kujilinda yenyewe!? Maana naona sifa kubwa mno inapewa mifumo ya ulinzi wa Israel wakati kazi kubwa zaidi imefanywa na mifumo ya ulinzi...
  4. Siri ya sifuri

    Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

    Mkuu naomba kukuuliza, kutokana na shambulizi la Iran, Israel imelindwa au imejilinda!?
  5. Siri ya sifuri

    General Salama atoa onyo

    Haijaanza hata kuchongwa mkuu,au ulishaona matangazo ya tenda!?
  6. Siri ya sifuri

    Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

    Mkuu kariakoo kuna viwanja!? Nijuavyo mimi unanunua jengo la zamani unavunja na kujenga jipya la kwako!
  7. Siri ya sifuri

    Binti asakwa na Polisi kwa kudaiwa kuweka dawa za nguvu za kiume kwenye tanki la maji

    Ni sawa tu mkuu, "kijana"inamaanisha umri wa makamo si mtoto wala si mtu mzima,pia anawezakuwa msichana au mvulana. Na hapa tumetambua kuwa ni msichana kutokana jina lililotumiwa nila mwanamke.(Tracey)
  8. Siri ya sifuri

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Aisee!kazi kwelikweli. Afueni kuna kiruka ujumbe hadi mbele huko ambapo hujaona.
  9. Siri ya sifuri

    Ni kweli mtu akichezea kichapo cha kutosha ukimpa maji anaweza kufariki?

    Wataalam msituache bure hapa! Pia kuna mwizi alipatiwa kipigo,mkongoto wa nguvu na alipokuwa hoi bin taaban akanyweshwa Azam energy akawa anasubiriwa apate nguvu ili apigwe tena!.
  10. Siri ya sifuri

    Marekani kujenga bandari Gaza ni kuzuga. Hana nia nzuri na Wapalestina

    (Red see)ni marufuku kupita bahari nyekundu kama una mzigo wa Israel.
Back
Top Bottom