Mkuu hebu tuekane sawa kwanza,hivi hayo yanayoitwa mafanikio ya Esrael kutokana na shambulizi la Iran yamepatikana baada ya kulindwa vyema na washirika wake au kujilinda yenyewe!? Maana naona sifa kubwa mno inapewa mifumo ya ulinzi wa Israel wakati kazi kubwa zaidi imefanywa na mifumo ya ulinzi...
Ni sawa tu mkuu, "kijana"inamaanisha umri wa makamo si mtoto wala si mtu mzima,pia anawezakuwa msichana au mvulana. Na hapa tumetambua kuwa ni msichana kutokana jina lililotumiwa nila mwanamke.(Tracey)
Wataalam msituache bure hapa!
Pia kuna mwizi alipatiwa kipigo,mkongoto wa nguvu na alipokuwa hoi bin taaban akanyweshwa Azam energy akawa anasubiriwa apate nguvu ili apigwe tena!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.