IRGC ndio limeshikilia nchi kwa sasa, wanasiasa wa Iran wanaweza kuendelea na Diplomasia ya kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo na baadae kupeleka pendekezo lao kwa Jeshi. Tatizo ni Trump, hana subira na kila jambo anataka aonekane yeye ndio kalidhibiti na kulifanikisha. Tabia yake ya kupenda sifa...
Je, hadi hapo hujioni kuwa wewe ni mtumwa wa Waisrael!? na kila
Je,hadi sasa bado hujioni kuwa wewe ni mtumwa wa Israel!?
Wewe ni mtumwa na upo utumwani unapambania hatma yako ili uiendelee kuishi huko unapotumika.
Unawezaje kuwashangaa Wahouth kwa kuwateka wafanyakazi wa UN kwa tuhuma za...
Kwasasa tatizo la wajane kutotaka kufanyakazi linazidi kuwa kubwa kwasababu, wanaoachika ni wasichana wadogo wanaojifunza maisha baada ya kuolewa.wanawake wengi wanaofanyakazi baada ya kuachika ni wale ambao wameshapigika, ni watu wazima ambao wameshaijua dunia.
Ndio sababu hatujaweka matumaini yetu kwenye maisha ya dunia yenye maumivu kwa walimwengu wote.
Ni "kila hatua dua,kazi na swala,ibada kila wakati na kila mahala.
Tumtakie rehma na amani muasisi,kiongozi wa Kobaz Nabii ISSA (A.S.)al maaruf YESU KRISTO.
Naam, kwa muonekano huo basi hizo bendera zitakuwa zinawakilisha msalaba.lakini kwa bahati mbaya au kwa makusudi hazikuchorwa hivyo,muonekano wa hizo bendera ni (intersecting junction) huo si msalaba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.