Recent content by Siri ya sifuri

  1. Siri ya sifuri

    Inawezekana Kuna Mgawanyiko wa Madaraka Iran baada ya kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na wawakilishi wa siri wa Iran

    IRGC ndio limeshikilia nchi kwa sasa, wanasiasa wa Iran wanaweza kuendelea na Diplomasia ya kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo na baadae kupeleka pendekezo lao kwa Jeshi. Tatizo ni Trump, hana subira na kila jambo anataka aonekane yeye ndio kalidhibiti na kulifanikisha. Tabia yake ya kupenda sifa...
  2. Siri ya sifuri

    Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    "Misri imeingia makubaliano ya gesi na Misri yenye thamani ya dolar....hivyo ndivyo ulivyopost!.
  3. Siri ya sifuri

    Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    Mkuu, ukiandika uwe unasoma kujiridhisha kabla ya kupost!.
  4. Siri ya sifuri

    Iran: Tutashirikiana na China, tutabadili mwelekeo wa dunia

    Kwa usalama wenu wenyewe, lakini!
  5. Siri ya sifuri

    Wahouth wateka nyara wafanyakazi 11 wa UN baada ya shambulio la Israel huko Sana’a

    Je, hadi hapo hujioni kuwa wewe ni mtumwa wa Waisrael!? na kila Je,hadi sasa bado hujioni kuwa wewe ni mtumwa wa Israel!? Wewe ni mtumwa na upo utumwani unapambania hatma yako ili uiendelee kuishi huko unapotumika. Unawezaje kuwashangaa Wahouth kwa kuwateka wafanyakazi wa UN kwa tuhuma za...
  6. Siri ya sifuri

    Kwa kizazi cha Sasa. Ukishakuwa single mother tafuta tuu Pesa. Hakuna Mwanaume atakayehitaji single mother Maskini asiye na kazi

    Kwasasa tatizo la wajane kutotaka kufanyakazi linazidi kuwa kubwa kwasababu, wanaoachika ni wasichana wadogo wanaojifunza maisha baada ya kuolewa.wanawake wengi wanaofanyakazi baada ya kuachika ni wale ambao wameshapigika, ni watu wazima ambao wameshaijua dunia.
  7. Siri ya sifuri

    Mohammed Sinwar ameliwa kichwa huko na Israel. Hamas wanalia kila kona

    Ndio sababu hatujaweka matumaini yetu kwenye maisha ya dunia yenye maumivu kwa walimwengu wote. Ni "kila hatua dua,kazi na swala,ibada kila wakati na kila mahala. Tumtakie rehma na amani muasisi,kiongozi wa Kobaz Nabii ISSA (A.S.)al maaruf YESU KRISTO.
  8. Siri ya sifuri

    Mohammed Sinwar ameliwa kichwa huko na Israel. Hamas wanalia kila kona

    Hawa kina Mohammed Sinwar, wapo matoleo mangapi mkuu!?. Nataka kuweka sawa kumbukumbu zangu.
  9. Siri ya sifuri

    Gaza City: Hamas wateka wanajeshi wanne wa Israel huku wakiwaua wengine 9 katika shambulizi la kushtukiza

    Kila la kheri kwa wapinga utumwa,haki haiombwi bali inadaiwa.
  10. Siri ya sifuri

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Aibu iliyoje!.mambo haya ndiyo yanayomfanya Trump ajione kama rais wa dunia.
  11. Siri ya sifuri

    Lijue jambo hili ambalo shetani analificha, linalofanya nchi hizi 5 kuwa na viwango vya juu vya amani na furaha

    Naam, kwa muonekano huo basi hizo bendera zitakuwa zinawakilisha msalaba.lakini kwa bahati mbaya au kwa makusudi hazikuchorwa hivyo,muonekano wa hizo bendera ni (intersecting junction) huo si msalaba.
Back
Top Bottom