Recent content by sir_liar

  1. S

    Uwezekano wa kuenea kwa salafi jihadi nchini Tanzania

    Daaah!! Uliona mbali sana kaka,hawa wadau waliokukebehi humu inabidi waje kuomba radhi sasa.
  2. S

    Walimu wafanyiwe haya kama motisha na fidia yao katika utumishi huu wa Miaka Mitano

    We jamaa hebu jiongeze acha kukariri,inaonekana kwa ufinyu wa kushindwa kifikiri kwako wewe ni kosa mwalimu kusimamia kituo cha uchaguzi. Jaribu kutofautisha kati ya kusimamia na kuchakachua kura ni mambo yanayofanywa na watu wawili tofauti.
  3. S

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Sehemu iliyozidi kiasi
  4. S

    Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane, tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe

    Hakuna vijana wapumbavu dunia hii kama wavuta bangi wa bongo,Hawana maadili kabisa wao hawaoni aibu kumpiga makofi mtu mzima sawa na mzazi wake uku akijisifu atamuongezea dozi siku nyingine. Ukiona kijana anamtukana mtu mzima bila uwoga jua tatzo lipo kwa mama mlezi,alikuwa hampi kalipio,onyo...
  5. S

    Kampuni ipi unaikubali kwenye utengenezaji wa movie

    1.Colombia-Hawa nawaelewa sana hawajawahi kuniangusha hawana kazi chafu,naisubiri No time to die 2.Paramount-Naikubali sana kazi yao ya Mission impossible tangu ya kwanza. 3.Universal-Fast &furious zote pamoja na jurassic park sijawahi zichoka 4.20th century fox-Kampuni kongwe ila ukitizama kazi...
  6. S

    Kadri utakavyoangalia picha hii ndivyo utakavyogundua matukio zaidi

    Ile alama ya mkono wenye damu kule ktk mlango una uhusiano na alama ya vidole vyenye damu ktk shingo ya mzee kipofu,atakuwa amehusika na mauaji. Huo mgahawa unaonekana ni zile treni za wachawi zinazopita usiku wa manane.
  7. S

    Nahitaji partner wa Ufugaji wa Samaki

    Unafikiri ipo siku tutakuwa mbele kimaendeleo kuwazidi wazungu? Najua sana mitaji yetu wabongo wengi niyakuungaunga ikitokea hasara kubwa mtu anakata tamaa,Ndio maana nilimshauri aanze mdogo mdogo uku akiendelea na shughuli zake hii itampa faida nyingi kama kujua changamoto za huo...
  8. S

    Nahitaji partner wa Ufugaji wa Samaki

    Ufugaji wa samaki uku kwetu kijijini.
  9. S

    Nahitaji partner wa Ufugaji wa Samaki

    Ndugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine. Ungeanza na bwawa moja tu na kununua vifaranga taratibu...
  10. S

    INAUZWA Boxer BM 150 inauzwa laki tano

    Nahitaji nina 300k
  11. S

    Wauza Laptop Tukutane Hapa

    Poa ndugu,nitakutafuta hv karibu.
  12. S

    Wauza Laptop Tukutane Hapa

    unapatikana wapi ndugu na vp sifa za hyo laptop?
  13. S

    Zana za kilimo zinauzwa

    Ndugu utanisamehe,mi sina uzoefu na hivi vitu kabisa. Naomba uwaulizie wataalam wa hivi vitu,jina la kampuni ADEPO na H.P 2.5 ikikidhi mahitaji yako nicheki nitakupa punguzo.
  14. S

    Movies kali za weekend hii (Session 06)

    Mi niko tayari kutizama muvi yoyote ile{action,comedy,family,sci-fi,horror} ya hollywood ili mradi tu iwe imetengenezwa na kampuni za filamu kama warner browser,paramount,colombia,walt disnep,sony,20th century fox na netflix kidogo. Hizi filamu zinazotengenezwa na kampuni ndogondogo huwa naziona...
  15. S

    Zana za kilimo zinauzwa

    Ndugu hyo haijawahi tumika hata siku moja,usitishike na hilo vumbi imekaa stoo miaka 4 tngu nimeichukua.
Back
Top Bottom