Muda umepita sasa toka vodacom na Tigo walipotangaza upatikanaji wa 5G kwa mtandao wao.
Kwangu sijapata kuona kabisa katika simu nilizotumia network kupanda kwenda kwenye 5G.
Nimeangalia band wanazotumia na simu nilizotumia ndo hizo hizo lakini hamna kupanda na maeneo mengi nayokuwepo dsm ndo...
Anaoufanya Maulid si ushamba wala ujanja ni aina ya maisha yake kayachagua..
Ila wewe ndo unaleta ushamba ukijisi una ujanja kupata hasira na wivu kuwa anavaa earpods na kubeba simu yake yenye macho matatu..
Tafuta hela mzee makasiriko yakutoke ukija jukwaani unaleta mada nzito..
Humu kumejaa ushabiki tu.
Muda utakuwa mwalimu mzuri, mimi nasubiri.
Ngoja nisubiri 23% ya mama july huku nikipiga kitu changu cha ugali mlenda hapa bila kusahau mihogo na kiporo cha wali.
1. Kuna no 14 na 15 hapo hapo
2. Ni ranking gani unayoongelea? Maana zipo nyingi mfano Times Higher Education (THE), 4icu, QS, US news, webometrics na nyingine nyingi
3. GPA yako ya 3.1 na top university kama ya 14 inabidi utupe ujuzi umetumia nini aisee maana hata ukiwa na motivational letter...
UK
1. Chevening scholarships
2. Commonwealth scholarships
China
1. CSC
2. Mofcom
Japan
1. Japan world bank Scholarship
2. Mext
Ila kama mdau mmoja amekuonyesha pia mpitie jamaa mmoja anaitwa Ernest Boniface Makulilo aka EBM utapata nondo zaidi. Hizo ni baadhi nilizo mention ila kuna...
Sawa, nisibishe.
1. Ila ukakasi wangu wa kwanza ni huo hapo na ushahidi kuwa nafasi zimetangazwa na hajapangiwa mtu.
2. Lakini idadi kubwa ya waliosoma ualimu classmates zao hawamo kwenye hiyo list ya majina tena 2015 na 2016.
3. Kingine genuine ya waliochaguliwa wangetia na namba za form 4...
Unaingia kwenye pdf halafu una find shule uliyoomba unaangalia waliochaguliwa na masomo yao. Kama somo lako lipo basi kachaguliwa ila kama hamna ina maana hamna aliyechukuliwa kwenye nafasi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.