Recent content by Sir Sule

  1. Sir Sule

    Kweli tutasalimika na kipindupindu

    leo jioni nimekatiza maeneo ya magomeni mataa pale kwene kituo cha kujazia mafuta chemba imeziba maji taka yanarangi na harufu mbaya sana inatoka na inafika hadi maeneo ya karibu na geti la Hotel Travetine daaaaah
  2. Sir Sule

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Sina data za ushahidi wa hlo ila kiukweli nliposoma HUMAN POPULATION KULE UNVSTY nliona kwamba LIFE EXPECTANCE kwa wanaume ni ndgo na wanawake ni kubwa....hvyo wanawake wanaishi miaka mingi kuliko wanaume.. Ila hapo kwa waliopo kwwne ndoa sina hakika sana kwa maana sinataarifa zake Lakin uelewa...
  3. Sir Sule

    Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

    Samahan kaka kama nmeharibu thread yako....ila sikua namaanisha udini wala nani zaidi Nnachomaanisha tuwe tunafanya intergration of knowledge kwa maana hata vitabu vya dini vmeandika habar nying za Kijiografia na biolojia... na nnlichoquote ni mojawapo ya kitabu cha dini kilichoeleza hzo mishe...
  4. Sir Sule

    Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

    NMEKUELEWA SANA NDGU ILA TU NLIPOONA HYO COMMENT NDO NKAKUMBUKA KITAMBO KUHUSU HZO ROTATION samahani bwana kama nmekuboa ndugu yang
  5. Sir Sule

    Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

    And sun rotation kwang nliamin tokea sijaanza standard one kiukweli sio recent ilifundishwa kitambo sana zaidi ya Karne kumi na tano zilizopita ila tu wazung hawakubali mpaka waprove jambo
  6. Sir Sule

    Kwanini Jua la Asubuhi sio kali kama Mchana na umbali ni uleule?

    Ni geog teacher wa bachelar. Majibu mliompa ni sahihi kabisa ila man umenifurahisha sana Nlisoma nikiwa mdogo kule madarasa kwene Quran kua jua linazunguka lakin nlipofika form one nkaambiwa jua lipo stationary Nkamuuliza mwalim wang kuhusu nlivosoma madrasa ikabidi amuite mwalim mwenzake ambae...
  7. Sir Sule

    Nimeonja uchungu wa mauti ndotoni - Je, nini maana ya hii Ndoto?

    Kuota kufa au kumuotea mtu yyte amekufa inamana amekufa kiibada na hayo maumivu ni ishara ya tabu anayoipata mtu alieacha ibada kifo chake kikawa hvyo... Nakushauri mrudie Mungu acha maasi..tubia makosa yako.. na kama uliwahi kutenda dhambi ya kushiriki ktk utoaji wa mimba kwa njia moja au...
  8. Sir Sule

    Tabia ya mabinti kuwafanya Boyfriends zenu baba or walezi wenu

    Hawa madem kiukweli wanazoea vibaya yaani mtu kwao yuko vzur kuliko hata kwenu alaf anakupiga vbomu makusudi..hadi nashangaa alaf simetime ukimuita oooooh dad yupo leo siwez kuja...sasa mbna vibomu dad havimuhusu..kila kitu boyfriend mi inanikera natoa tu coz nshapenda
  9. Sir Sule

    Yafuatayo ni majina yenye bahati,mvuto na hodari 100% ktk suala zima la ndoa na sexy pia

    Atusungukye.....hahahaaaaaaaaaa kitu cha mkoa gani hcho...
  10. Sir Sule

    Kwanini wasichana warembo wanawadharau sana wanaume walimu wa shule za msingi na secondary?

    Mimi kama tcha hua sinaga mishe na relation na madent hata awe mzur kiasi gani...na sitakaa nijisifie nmetoka na vitoto... cha msingi mwalim ni kuwa na other source of income kwa kuwekeza outside the school na unakuta miradi inalipa kuliko salary....tatzo walim weng kila akipata mshahara...
  11. Sir Sule

    Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

    Ndugu ebu tuliza nafsi yako..wanawake wanamitihani sana...piga moyo konde kama unajiskia kuachana nae fanya hvyo soon...wala usisikilize maneno ya mtu wala usisikilize maneno matamu atayokupa...ni ukweli kwamba inauma sana kuishi na mtu alafu anakua msaliti...kaka utaamua kumsamehe basi msamehe...
  12. Sir Sule

    Kuhusu course ya community health

    Nimeona tangazo kwene.group la whatsap kwamba NACTE wametoa tangazo kua mwene.D ya Biology na D zingne tatu ataruhusiwa kusoma hyo course kwa mwaka mmoja alaf anaajiriwa...NAOMBA MSAADA KWA ANAEFAHAMU HABAR HIZI MAANA MIMI NMEINGIA NACTE LAKIN SIJAONA HILO TANGAZO
  13. Sir Sule

    Despite MTVMAMA2015 Awards, Kiba is still more talented than Chibu

    Kila mfalme anawakat wa ufalme wake...ndani ya Bongo Domo ashapiga tuzo saba kama sikosei...mwaka huu sauti ya Chiriku kapiga tuzo tano.....mwaka huu domo kapiga kili tuzo mbili na Africa moja na kuna mashindano tuzo zngne znatoka USA nazo jamaa kaingia hko kama sikosei....Cha msingi tuwe...
  14. Sir Sule

    Ananipenda lakini chamoto nakiona

    Mambo yenu ya kutukanana rejareja sio mata..kama unaona ushaur huna baasi bwana...inamaana story yene more than ten lines umeona neno moja tu ambalo ni minor case within a story alaf mtu anakuja kucuote kineno kimoja tu anaanza kikuita majina ya ajabu....Sasa huu ugreat thinker upo wapi..samahan...
  15. Sir Sule

    Ananipenda lakini chamoto nakiona

    Punguani mama ako mbwa we
Back
Top Bottom