Yapo mengi amefanya magufuli kama yapi hzo ndege hatuja ziona wala meli haipo ni adisi tu viwanda ndio kabasa hata msingi wa hcho kiwanda hakuna hata kimoja na maisha mbona yamekua magumu unafuu upo wapi sasa kwa mwananchi mbona kila kitu ni hela mbona hyo keki ya taifa na sisi hatuifaidi hivi...
Nani asiemjua huyu al hadi Salum mussa huyu sheikh ni mtu wa maslahi ni juzi tu wamepewa hela magufuli na makonda amewahdi kujenga ofc yao unategemea anaweza kuongea tofauti kwa maneno ya kutowapendeza mabwana zake yy huyu ndie yupo kidunia zaidi kuliko kiahera al hadi mussa acha unfki sio kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.