Recent content by sir shabani

  1. sir shabani

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM

    Yapo mengi amefanya magufuli kama yapi hzo ndege hatuja ziona wala meli haipo ni adisi tu viwanda ndio kabasa hata msingi wa hcho kiwanda hakuna hata kimoja na maisha mbona yamekua magumu unafuu upo wapi sasa kwa mwananchi mbona kila kitu ni hela mbona hyo keki ya taifa na sisi hatuifaidi hivi...
  2. sir shabani

    Mwigulu Nchemba: Tuna Rais mmoja tu nchi hii, analoliamua wote tunapaswa kulifuata

    Yaani unataka hao waalifu wajilete kwako kweli ww ufai kua waziri nenda kafanye kazi
  3. sir shabani

    Tabia za wanaume kutoka makabila haya 20

    Wanyamwezi he sana sifa ngan
  4. sir shabani

    Tigo 4g ( 1 )vs halotel 3g( 3)

    Moro halotel wapo juu sana
  5. sir shabani

    Sheikh wa mkoa wa Dar: Vijana epukeni UKUTA, kushiriki UKUTA ni dhambi mbele za Mungu

    Nani asiemjua huyu al hadi Salum mussa huyu sheikh ni mtu wa maslahi ni juzi tu wamepewa hela magufuli na makonda amewahdi kujenga ofc yao unategemea anaweza kuongea tofauti kwa maneno ya kutowapendeza mabwana zake yy huyu ndie yupo kidunia zaidi kuliko kiahera al hadi mussa acha unfki sio kila...
  6. sir shabani

    CHADEMA Kutaka Mazungumzo Wakati Kumekucha Ni Dharau Kwa Serikali. Watazungumza Hukohuko Barabarani

    Naona ndo mnazid kuutangaza ukuta bila ya ww kujua endelea kuutangaza
  7. sir shabani

    CCT, TEC na BAKWATA mtahukumiwa

    Hivi we lizaboni unaakili kweli magufuli ni nani asijalibiwe mitume wenyewe walijalibiwa sembuse mtu wa kawaida
  8. sir shabani

    CCT, TEC na BAKWATA mtahukumiwa

    Hivi we lizaboni unaakili kweli
  9. sir shabani

    Km Lowassa ataandamana tar.01 sept. Nitaandamana pia!

    Kwani lowassa ni nani wako mpaka yy akiandamana na ww uwandamane andamana kivyako na yy kivyake
Back
Top Bottom