hivi wewe una akili kweli eti huwezi kukaa mbagala acha akili za kushikiwa mbagala kuna matajiri wengi kuliko wewe na watu wenye hadhi kuliko wewe. huenda wewe umepanga na unabwabwaja
hivi wewe una akili vizuri unasema Lisu anahatarisha amani? tumia akaili Lisu hana jeshi bali anawaambia watu ukweli waache wabishane kwa hoja kamati kuu ya chadema ilisema kama hakuna reform hakuna uchaguzi hivyo yeye katumwa na kamati kuu hivyo yeye anasimamia maamuzi ya kamati kuu. Lisu ni...
Kwakweli hiyo zaburi 109 Ukiisoma kwa siku 31 hiyo kitakachompata ni hatari zaidi maana yenyewe inasema hivi
ZABURI 109
1. Usinyamaze, ee Mungu ninayekusifu!
2. Watu waovu na wadanganyifu wanishambulia,
wanasema uongo dhidi yangu.
3. Wanasema maovu juu yangu,
na kunishambulia bila kisa.
4...
kib alicheza vizuri sana kapombe na shabalala nao walicheza vizuri sana kwa kweli kwa ujumla wachezaji wetu walijitahidi ubora na ukubwa wa moroco ndio ilikuwa kikwazo kikubwa. moroko sio kipimo chetu hata kidogo
Habari wadau wa UTT,
Hivi kwa wale wenye uzoefu ukiwa umewekeza kiasi cha shilingi Milioni 2 na laki moja jikimu fund utapata kiasi cha shiling ngapi kwa kila miezi 3 yaani quoter 1, quoter 2, quoter 3 na quoter 4?
na je hicho kiwango huwa kinawekwa muda gani mfano miezi mitatu ya mwanzo bimana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.