Recent content by Sir Makombo

  1. Sir Makombo

    Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

    Hapana, Frank aliondoka 2010 tukiwa form 4. Nilimuacha brother Clement.
  2. Sir Makombo

    Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

    Dah, very touching. Mimi nishawah kusaidiwa na a stranger tena sio mtanzania. Mimi nimesoma Edmund rice secondary school Arusha na nilimaliza 2010 form 4 pale. Maisha yangu yalikuwa magumu kidogo kwa sababu baba hatukuishi naye na mama alikuwa hana kazi. Nilifaulu darasa la 7 lakin kuingia form...
  3. Sir Makombo

    Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

    Sijasema they are bad. Ila sifa na products ni totally different. I don't know. Unaongea kwa jazba kutaka kunikomoa kwa maneno ila nawaona. Siwadharau ila they are not better. It depends on who and who.
  4. Sir Makombo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Msimu huu hakuna kombe hata moja tunabeba. Hata FA hatuwez.
  5. Sir Makombo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    A coach, 3 years now, does not know his first eleven.
  6. Sir Makombo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Buvac was better. Sometimes walikuwa wanazinguana na Klopp kwenye sub
  7. Sir Makombo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Klopp needs Buvac back.
  8. Sir Makombo

    Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

    Mmmmh, ndo maana nimejiuliza, nimefanya kazi na graduates wa Udsm, sasa kwa jinsi walivyo incompetent huwa najiuliza hizi sifa zinazopewa hawa mbona sizioni huku mtaaani?
  9. Sir Makombo

    Misukosuko ya vyuo vikuu

    Kwa wale waliosoma SAUT Mwanza. Foremost Education, nan anamuelewa Mr.Basil kwa wana Linguistics, na Mr.Sijjo kwa education measurement. Mmoja alitutesa sana kwa sababu alimpenda demu kwenye group letu. Mwingine alitupeleka sana kwa sababu tulipitiwa kukusanya assignment.
  10. Sir Makombo

    Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

    Mimi nilisoma SAUT BAED. Tulikuwa tunaenda field tunakutana na walotoka vyuo mbali mbali. Nilikuwa nasikia udsm students are super. Lakin sasa nilikuwa nikiangalia ufanisi wao kazin nashindwa elewa where do these division ones class speak? Sema sijui ila watu wakishajijengea some sort of belief...
  11. Sir Makombo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Leta link
  12. Sir Makombo

    Mawazo yenu

    Rafiki hebu mdodose basi uniambie kidogo.
  13. Sir Makombo

    Mawazo yenu

    Asante mkuu. Nitafanya hivyo
  14. Sir Makombo

    Mawazo yenu

    Sawa sawa mkuu
  15. Sir Makombo

    Mawazo yenu

    Nilivimba upande, mdomo ukaanza kwenda upande. Nikaambiwa ni majini. Sasa nilipewa dawa za kiarabu ndo natumia. Naendaga maombi pia. Sasa nilikuwa nataka msaada kidogo. Nimepata nafuu lakin sijapona kabisa. Ule upande umepungua lakin haujakaa sawa maana kuna uvimbe kwa mbaali. Kwa walowahi...
Back
Top Bottom