kwa anayejua kuusu kutoka kwa majina ya hizo nafasi. Mana haijulikan lin yatatoka, yametoka wakaguzi wasaidizi tu wa uhamiaji. Naomba tujuzane kwa anayejua tafadhari.
Nasikia kuna awamu tatu za majina ya usaili, hvy kwa wale ambao hawajaweza kuyaona majina yao ktk awamu hii ya kwanza ngoja awamu ya pili na ya tatu, Mungu ni mwema kwetu atatusaidia kupata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.