Mkuu kama tulivyo harifiwa, mwanza kwamba vigezo vya kukopa ni ...kuwa na
Idadi ya watu tu kuwa wengi....[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Na thamani za Resources tulizo nazo.. nchi hii ni nyepesi sana kuiongoza..
Anyway tuombe mikopo izo zielekezwe sehemu usika..
Issue ya Ngorongoro ni Suala nyeti sana kitaifa na siyo masilahi ya wamasai. Kwa maana kiualisia hawakuzaliwa maeneo hayo by nature kwa maana hiyo walikwa hapo kulingani na historia inavyo sema.
Sasa kama kuna impacts yake ni kubwa kiikologia , basi tuache utasi ifanye kazi pasipo hisia...
Hapo kunakitu nyuma ya pazia, kwamba zitto hanangea na mbowe namna ya kumtoa maabusu... kupitia mgogo wa msamaha wa Rais,
Kwa nini asiungane na chadema kuangalia, namna bora ya kumsaidia......
Anyway zitto hanaweza kuwa na madhaifu mengi. Ila kwa ili tuangalie UTU..
Mbowe ni baba mwenye...
Mkuu nimejaribu kufuatilia andishI, na aina za hints anavyovitoa nikagundua ni aina mtu anayeiraji msaada..... na yupo hali ya kujifunza vitu vyepesi sana...
Muundo wa swali lako inafikirisha ila umeshindwa kuhiweka vizuri...
Nilitegemea ungeuliza juu ya Ufanisi juu ya ukuu wa Mungu, na miungu
Anyway Mungu wetu ni alfa na omega.
Kwa maana mwanzo na mwisho
Sasa ipo ivi. Katika utendaji wa Mungu hanaweza weza kubadilisha chochote alivyo viumba.
Nachelewa kufikiria kwamba hizo scenario zinaweza kuwa ndio solutions kwa changamoto ya elimu yetu.... Anyway izo zinanaweza kuwa moja kati ya sabaabu ndogo sana....
Dunia ya sasa haitaji elimu za hadidhi na kukariri sijui mchoro wapanzi sijui historira ya wakoloni
Dunia inaitaji inventions and...
Mkuu, kwamba mahakama imepata nyaraka iliyofichika ambayo. Hata Job ndugai hailewi.. imewasilishwa na nani?
Kwa kifupi mahakama ingetakiwa ifanye kazi kikatba then spika hakiri kutokufuata utaratibu wa kujiuzulu .... na hapewe nafasi upya ya kuita press. Ndipo harusiwe kujiuzulu mamna sheria...
Nimekuwa na wasiwasi mkubwa sana, kwa haya majibu..., inadhiisha kweli kwamba umeshindwa vibaya sana kwenye hii department..
You have to accept the reality of
the problem, then tuangalie how.. to solve it.
Tanzania ni Taifa kubwa kana watu wengi, wenye weledi wakutosha.
Ukishindwa wapishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.