Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

Kwamba Zitto haoni sio tu jitihada za kumtoa Mbowe jela, bali harakati nzima za kudai haki zinazofanywa na CDM tangu 1992?. Ni kitu gani bado CDM kama chama hawajafanya ili kuikomboa TZ?
Malofa wanataka kuikomboa nchi gani?
Kwa hiyo malofa ndio wenye nchi na watawala ni mabeberu au?

Ukombozi gani unatafutwa wakati nyerere alimaliza hiyo kazi?

Yangu ni hayo tu.
 
Hapo kunakitu nyuma ya pazia, kwamba zitto hanangea na mbowe namna ya kumtoa maabusu... kupitia mgogo wa msamaha wa Rais,
Kwa nini asiungane na chadema kuangalia, namna bora ya kumsaidia......

Anyway zitto hanaweza kuwa na madhaifu mengi. Ila kwa ili tuangalie UTU..
Mbowe ni baba mwenye familia then vilevile, ni mwenyekiti wa chama ... hapa tuache uchama
Kwanza tuangalie ishu ya familia.. msimamo wa familia upi??? Then tuangalie maslahi ya Chama kwenye hiyo case, Ikumbukwe chama siyo mtu ni kikundi....
 
Zitto Kabwe ametoa ufafanuzi kwamba yeye anamtetea Freeman Mbowe kama kaka yake na siyo kama mwenyekiti wa Chadema.

Mbowe amenilea amesema Zitto.

Nadhani makamanda wa Ufipa sasa mmeelewa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Wahariri pia wasisahau kumuuliza zotto kabwela kuwa ana mpango gan juu ya mr. Ayub Hamad? Nae tusikie maoni yake juu ya mwanachama wake
 
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

View attachment 2110118
Mwanzo kabisa namjua Zitto niliamini takuwa kama yeye ila kabadirika kawa mchumia tumbo hata siwezi kuiga mfano kwake hakika amekuwa mwanasiasa uchwara
 
Zitto aachane na mambo ya Mbowe/Chadema kwani hayamuhusu yeye aangalie ndoa yao na ccm pamoja na Tiss anaowatumikia.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Zitto Kabwe kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amewambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa amefanya sana jitihada kumtoa Mbowe jela na Mbowe mwenyewe alibariki jitihada za Zitto kupambana kumtoa jela.

Zitto anasema kuwa CHADEMA wanamuona Mbowe kama mwenyekiti yeye ana muona kama kaka yake ambaye yuko gerezani!

Zitto ametaka wahariri wawatafute viongozi wa CHADEMA wawaulize wamefanya jitihada gani kumtoa Mbowe jela?

My opinion!

Zitto anaona wazi kuwa njia ya Chadema kutumia mahakama kumpambania Mbowe haiwezi zaa matunda kamwe na ana hakika haitozaa na ndio maana anaona njia ya kumuombea msamha kwa Rais ndio njia bora na anawaona Chadema hawafanyi lolote liwezekanalo kumtoa Mbowe!

Zitto anaona Mbowe amefanya kosa tofauti na sisi tunavyo ona? Zitto anajua zaidi kuzidi sisi?

Zitto anawezaje kujitenga na hoja ya kutaka kutumika na CCM kama daraja la kumtafutia Rais umaarufu....kwa kutengeneza tatizo na kulitatua na kujipigia makofi?

Zitto ni kweli anaamini Mbowe ni gaidi?

=========

Zitto Kabwe amesema:

"Sakata la Freeman ni moja kati ya vitu vinavyoniumiza sana, Freeman amenilea, ninavyomuona yupo jela simuoni kama Mwenyekiti wa CHADEMA, namuona kama Kaka yangu, nimefanya jitihada kuhakikisha anatoka Jela na kila nilichofanya kina ruhusa ya Mbowe, nimeenda Jela na nimeongea nae kumuambia nataka kufanya hivi akaniambia fanya"

"Wao wanamuona Mwenyekiti wao yupo Jela Mimi namuona Kaka yangu yupo Jela huo ndio utofauti, Wahariri waulizeni wenzetu wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe nje ya Jela, Mimi naamini tulichofanya Dodoma (kumuomba Rais Samia amsamehe Mbowe) isingeleta kelele zilizopigwa, leo tungekuwa na Mbowe nje, naamini hivyo"
Aiche sheria ichukue mkondo wake. Kesi haiwezi kuachwa hivihivi, mpaka DPP ndiye aseme serikali haina nia ya kuendelea nayo. Otherwise, haki itaonekanaje imetendeka? Hata mimi ningependa Mbowe asikae ndani, lakini kama mdau wa sheria ngoja mahakama ifanye kazi yake. Hoja hapa ingekuwa kuiomba mahakama isitetereke katika kutenda haki kuliko kutafuta njia ya mkato.
 
Ndg. Zitto bado anaamini...

kwamba Mbowe ni gaidi
Kwamba alivyomuombea msamaha Freeman kwa Rais Samia Dodoma. Ilikuwa aachiwe huru.
Kwamba kelele zetu za kumwambia hajatumwa na CHADEMA, wala Mbowe kumuombea msamaha kwa Rais Samia zinasababisha Mbowe kusota mpaka sasa!?

Ni ujinga wa zitto kichwani kwake
Ni mpuuzi sn Zitto
 
Back
Top Bottom