Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Malofa wanataka kuikomboa nchi gani?Kwamba Zitto haoni sio tu jitihada za kumtoa Mbowe jela, bali harakati nzima za kudai haki zinazofanywa na CDM tangu 1992?. Ni kitu gani bado CDM kama chama hawajafanya ili kuikomboa TZ?
Kwa hiyo malofa ndio wenye nchi na watawala ni mabeberu au?
Ukombozi gani unatafutwa wakati nyerere alimaliza hiyo kazi?
Yangu ni hayo tu.