Recent content by SIPRITE

  1. SIPRITE

    Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

    Kulingana na ile Kauli upo Sawa kabisa IKA nguvu ya umma itaamua Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
  2. SIPRITE

    Dawa ya wapinzani ni kuwapora viti vyote 2020 kuwapa CCM ili watuheshimu wananchi

    Acha matusi mzee jibu hoja Sent using Jamii Forums mobile app
  3. SIPRITE

    CHADEMA yajutia kupokea waliokatwa CCM na kudai haitapokea tena katika uchaguzi mkuu

    Naunga mkono Kwa nguvu zoote Hii hapa na ingefaa na viongozi Wengine kitaifa walisemee swala hili la kuwapokea walioshindikana huko CCM Haswa kuomba radhi Wananchi kwa yale ya 2015 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. SIPRITE

    Mbowe na CHADEMA kazeni mwendo nyie ndio tegemeo linaloishi

    Aseee kazeni buti ila hawa jamaa wa bei chee Wapo wanaotamani Kuja CHADEMA this time Hakuna kuwapa nafasi Wawe wanachama tuu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. SIPRITE

    Mada maalumu: Fani za afya kwa level ya diploma

    Wakuu ajira health community zimekaaje
  6. SIPRITE

    Mwanza: Wafuasi CHADEMA waliokamatwa msibani kupandishwa kizimbani

    Daaaah jamani watanzania tumwombee RAISI wetu huenda mambo yakawa kama tunavyotaka
  7. SIPRITE

    Kwako Rais Magufuli, umepoteza sapoti ya raia

    Labda tatizo anaomba tumwombee na wengiwetu hatumwombei
  8. SIPRITE

    Msaada: Naweza kusoma kozi ya Nursing Assistant kama nimesoma tu Biology bila masomo mengine ya Sayansi?

    wanajamvi ivi kama mtu hajasoma masomo ya sayansi anawaza kusoma kozi ya nursing assistance kama bios kafaulu? na ni vyuo gani msaada please natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako
  9. SIPRITE

    Chakula cha akili kitabu soft copy hii hapa

    Nashukuru kiongozi ngoja tuongeze maarifa
  10. SIPRITE

    sifa za kupata chuo cha afya ngazi ya cirtificate

    Wanajukwaa naomba tujuzane sifa za kupata chuo cha afya kozi yetu ya nursing au health community ni zipi
  11. SIPRITE

    Natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo Morogoro

    Waheshimiwa kwa yoyote anayeweza kunisaidia kujua mahali ambapo nitapata shamba maeneo yaliyo Karibu na manispaa liwe Na maji aidha ya kisima au mto naomba tuwasiliane hapa 0757014056
  12. SIPRITE

    SAUTI YA LISSU AKIUNGURUMA: Awashukuru Watanzania kwa kumuombea

    GOD is good all the time
Back
Top Bottom