Recent content by sipii

  1. sipii

    Kuna jamaa kaibiwa simu Kariakoo halafu kwenye laini yake ya Yas mixx kulikuwa na milioni 5, wameiba zote

    Niliwai kua msajili line miaka ya 2017 Namba ya Siri kuipata Ni ili kua kitu rahisi kabisa kwa kipindi iko Kama wakala ana roho ya wizi kumpiga mtu Ni chap,nnaamini Hadi Sasa Kuna mbinu mpya nyingi zimeshagunduliwa za upigaji Usiamini sana kutunza hella kwenye simu ,kujua salio lako...
  2. sipii

    Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

    Nilivuna sana asali kwenye mizinga ya shule,ikawa ni mwendo wa kunywa asali na uji wenye asali nyingi, Niliipigia hesabu mizinga ya shule imetundikwa porini ,nikashona suti ya makaratasi Yale meupe yanayotolewa kwenye magodoro mapya yani mikono mirefu ya tisheti nikaishonea kama gloves na...
  3. sipii

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Mkuu,I'vi ipo namna ya ziada mtu wa kawaida kama Mimi naweza kufanya nikawa na macho yenye kuona fursa(sehemu au VITU vya kuwekeza)na kuweza kutengeneza faida?
  4. sipii

    Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

    Mojawapo ya Simulizi Bora kabisa kuwahi kuzisoma,big up man
  5. sipii

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Kaa toa ulimi nje adi mwisho wa uwezo wako ,alafu urudishe ndani ndani kabisa adi mwisho wa uwezo wako ,rudia mara nyingi zoezi Hilo Hadi siku utayoona umeacha kukoroma,Kila la heri
  6. sipii

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Asmah utakuja gundua alikufanyia dawa ili umpende Kila ukimwona Asma utakuja kujua alikufanyia dawa ili umpende Kila ukimwona
  7. sipii

    Simulizi: Msegemnege

    Umechanganya majina:!?
  8. sipii

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Kwema ndgu,Nmsaada dawa ya mtoto ana kikohozi kikavu kimedumu mda mrefu zaidi ya mwezi ,dawa za hospital zinaleta ahueni kidogo Tena hali inajirudia
  9. sipii

    Ni nyimbo zipi zinakukumbusha machungu ya mapenzi na hata kuzichukia kabisa?

    Harmonize ,matatizo , Huu wimbo huu ,daah, kiukweli tutafute hela,ukiwa hella inaleta ujasiri usiomithilika,na usipokua nayo vilevile unakua myonge mfano hamna hasa matatizo yanapokuandama Noti zikishakutenga;Mapenzi na wapenzi nao wanapeperuka wanaenda mbali nawe
  10. sipii

    Ushauri: Milioni 5 ni kiwango ambacho hunisumbua kukivuka, Nifanyeje ili nivuke hii hatua?

    I wish ningewai ona ushauri Kama huu na nikauzingatia yasingenikuta,nilianzisha ofisi nyingine ,garama za uendeshaji zkaongezeka,wafanyakazi wakawa pasua kichwa, nikawa simudu kujigawa kusamia ofisi zote kwa ukaribu ,kilichotokea ;haha almanusura ofidi zote zife ,nilibakia na ofisi mama tu Tena...
  11. sipii

    Kwanini nchi za Kiarabu hazitaki kuwasaidia Waarabu na Waislamu wenzao Wapalestina?

    Hilo Ni suala lingine bos wangu ,Mimi nimejibu Hilo moja nlilolisikia Linaleta mantiki
  12. sipii

    Kwanini nchi za Kiarabu hazitaki kuwasaidia Waarabu na Waislamu wenzao Wapalestina?

    Rais wa misri alisema wazi hawezi wapokea wapalestina Kama wakimbizi sababu Kuuruka mtego wa Israel kuja kuifanyia ugaidi misri as wakimbizi watakaoingia misri wataanza mashambulizi na kuendeleza harakati za kushambulia Israel kutokea mipaka ya misri kudai Uhuru wa palestina. Pia Kuna maazimio...
  13. sipii

    Kufikia guest vs kufikia kwa ndugu

    Kila upande una changamoto zake mkuu, ungeenda guest pia ungekutana na kashkash zake uwenda zingekukera pia, usisahau kupitia uzi mmoja humu jukwaani unaelezea vituko vya lodge.
Back
Top Bottom