Recent content by siphael joseph

  1. S

    Ushauri juu ya kuanzisha kiwanda cha nyumbani

    Nakushukuru mkuu ngoja ntachek na sido hope thing wil b good Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Ushauri juu ya kuanzisha kiwanda cha nyumbani

    Naombeni muongozo nahitaji kufungua kiwanda kidogo cha kuzalisha bidhaa za kusindika na kiwanda cha sabuni za miche mwenye ufahamu au anayefanya ujasiriamali huu naomba anipe maelekezo, naanzaje. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Rais Kikwete: Nilikuta serikali inaingiza mapato bilioni 170, Sasa naingiza bilioni 900 kwa Mwezi

    Hahahahahhaha kwel mtu wa mashiko umegusa penyew kka kwa hoja hizp ukizfanyia upembuz yakinifu utapa ukwel wa mambo ya ben na jahhh kaya. ama out
  4. S

    CHADEMA yambwaga Zitto Kabwe Mahakamani, aamriwa kulipa gharama za kesi

    Hahahahhahahaahaha cna cha kuongeza mkuu kwa hyo ya yuda eskariot kka hhahahahahahha lakn n kwel zto msalit jamaa hata aksimama bila chama lazma kgoma apite na utanambia hapo ndo utajua kka ang zto n msalit au laaah wote tuko njee hatujui undan wa mchaga yule anay shka chamaa ana miiko gan labda...
  5. S

    Kama uko above 30 huna mke/mume wala mtoto we ni masikini tu

    Hyo kka haitaji coment n sahihi kabsaaaa n kuomba.mungu tuuu
  6. S

    Kufuga Nguruwe

    Saawa kka tnx kwa kunitia moyo hope sooon ntakuw mfugaj mzur@ horsehoe arch
  7. S

    Kufuga Nguruwe

    Asante malafyale
  8. S

    Kufuga Nguruwe

    Nimeipenda hyo kka thnx eneo ninalo aina shida kujusu hlo kupata soko la uhakika hapo iko bp yan lication ambako hakuna shda ya soko
  9. S

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Habar wadau jaman mm.nahitaj mambo ya msing na ya kuzngatia katka ufugaj wa nguruwe kibiashar zaid
  10. S

    Kufuga Nguruwe

    Nazipateje sasa nipe colum ya kufuatilia kka
  11. S

    Kufuga Nguruwe

    Ok mkuu nmekusoma n ivi naitajika kufanya nn ili kuanzsha mradi wa kufuga nguruwe kibishara @ naxon
Back
Top Bottom